Picha: Kuwa makini na bidhaa za online

Wachina bana, kipindi Niko chuo ndo kikuu inaanza, nikawa naagiza hizi Bluetoothspeaker wananitumia zipo poa tu, nikajenga uaminifu na kikuu, kibembe sasa nikaona suti na manguo makali wanauza Bei Chee, nikaagiza suti kama nne na nguo zingine kibao, nikawa nawaringishia washkaj kua zikifika watanikoma

Kibembe siku zinafika nikapigiwa na agent wao maana walikua wanafanya home delivery, Jamaa akaniletea, kibaya npo geto na Hawa washkaji niliokua nawaringishia, aisee kufungua mzigo majamaa walicheka mpaka wakakaa chini

Hawa majamaa sijui wanatumia vipimo Gani, walileta vi suti na vinguo vidogo labda wa kuvaa mtoto wa la 5, nilichukia mno
 
kwani unavyaogiza si lazima uandike vipimo? wewe hukuwapa vipimo

Anyway ukihitaji msaada namna ya kuagiza bidhaa online kwa m=chi za china,japani au uturuki nicheki PM
 
Niliona Iphone 14 pro max inauzwa sijui elfu 90🤣🤣. Niliwaza sana ni Iphone kama Iphone au box lake, au cover lake au chaja sikupata jibu
Kuna wengine wanawekaga matangazo online kama kujifurahisha kuondoa stress kumbe hawajuhi tu wanavyowaumiza watu. Hasa wakati wa Corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…