Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Jf hii nyieeeee bhnMbona ulicho agiza ndo ulicholetewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf hii nyieeeee bhnMbona ulicho agiza ndo ulicholetewa
😂😂😂😂😂😂😂 Ila watu humu userious hakuna kabisa 🙌🙌🙌🙌Niliwahi kuagiza bastola nikaletewa kitoy kisichojaa kiganjani[emoji23]
Buana wee kikubwa siku zinaenda...Jamani zingine meme tu hizo. Mnashuka povu. Ooh nimeagiza sijui maker nini sijui nshaagiza iphone. Uwongooo bwana uwongo huooo. Nani kawahi agiza kama hivo alete picha.jamaa nae kadownload tu hiyo kaclopView attachment 2939194
Haya ni madhara ya kukurupuka tatizo hampendi kusoma ungetuwekea na post nzima ya bidhaa ulikonunua na sisi.tusome Acha lawama
Ndugu mwagizaji hiyo ni yakuweka vitumbua,maandazi au kashata😂
Sio tatizo Lao ni lakoWachina bana, kipindi Niko chuo ndo kikuu inaanza, nikawa naagiza hizi Bluetoothspeaker wananitumia zipo poa tu, nikajenga uaminifu na kikuu, kibembe sasa nikaona suti na manguo makali wanauza Bei Chee, nikaagiza suti kama nne na nguo zingine kibao, nikawa nawaringishia washkaj kua zikifika watanikoma
Kibembe siku zinafika nikapigiwa na agent wao maana walikua wanafanya home delivery, Jamaa akaniletea, kibaya npo geto na Hawa washkaji niliokua nawaringishia, aisee kufungua mzigo majamaa walicheka mpaka wakakaa chini
Hawa majamaa sijui wanatumia vipimo Gani, walileta vi suti na vinguo vidogo labda wa kuvaa mtoto wa la 5, nilichukia mno
Basi kama hata wewe ilikuwa haki ya Mjanja1 kuletewa toi la kabati😁Niliwahi kuagiza bastola nikaletewa kitoy kisichojaa kiganjani[emoji23]
Nimerudi kuliangalia nikaamua kunyamaza tu bila kucommentHilo paja mbona limekaa kikike kike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliona Iphone 14 pro max inauzwa sijui elfu 90[emoji1787][emoji1787]. Niliwaza sana ni Iphone kama Iphone au box lake, au cover lake au chaja sikupata jibu