TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Haya ndio maendeleo ya Dubai ndani ya miaka michache, waTanzania sisi tumelogwa miaka zaidi ya 50 hakuna jipya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabeberu watatuibia madini yetu.Dubai, Qatar etc zinajengwa na mabeberu na watu wa mashariki ya mbali.. Tanzania mabeberu wanatukanwa na Wana siasa na kubezwa.
Tukubalini kuvuta mkia.
wapinzani ndio wametufikisha hapa😂😂Dubai, Qatar etc zinajengwa na mabeberu na watu wa mashariki ya mbali.. Tanzania mabeberu wanatukanwa na Wana siasa na kubezwa.
Tukubalini kuvuta mkia.
aya ndio maendeleo ya Dubai ndani ya miaka michache,waTanzania sisi tumelogwa miaka zaidi ya 50 hakuna jipya.
View attachment 1934527
😂😂😂 Yaan Inaumiza at the same time inachekesha.Mabeberu watatuibia madini yetu.
Wayaibe tu maana hata wakituachia hatuna cha kuyafanyia.Hatutengenezi Vito vya thamani,Uranium hatutengenezei mabomu ya nuclear etcMabeberu watatuibia madini yetu.
Point yako ya msingi hasa ni ipi?View attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.
Jamaa unawaza kutombah tu.Mbunye hazinaga shukrani Kama zilivyo mboroh tu.View attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.
Bila mabeberu hakuna maendeleo popote pale.😂😂😂 Yaan Inaumiza at the same time inachekesha.
China Wana recourses asili nyingi na Wanafanya kazi sana + akili Lakin hawakuweza toka pale walipokua hadi pale mabeberu walipo wekeza kwa nguvu ndiyo Leo China tunaona iko pale.
Muda utaongea
Mzee, mapenzi na maendeleo ni nadra sana ku-move together (in Hayati Magufuli voice)---Mshkaji muda wote anawaza how to transform his country----Sisi muda wote tunawaza namna ya kuipondaponda mbususuView attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.
Mkuu huyo jamaa hana furaha kabisa. Waliyokaribu naye wanadai analaani kichiz mke wake kuliwa na kafiri na maskini hadi kumtoroka. Sasa hivi hata hawezi kuwaona watoto wake. Kuna wakati alichanganyikiwa akawa anaandika mashairi tu.Jamaa unawaza kutombah tu.Mbunye hazinaga shukrani Kama zilivyo mboroh tu.
Ngoja waislam wakusikieBila mabeberu hakuna maendeleo popote pale.
Kinachomuuma ni mke wake kipenzi wa mwisho Haya bint alhussein binti aliyekuwa mfalme wa Jordan kumkimbia kwa kufa kimapenzi na mlinzi wake Muingereza nakuomba talaka.Mzee, mapenzi na maendeleo ni nadra sana ku-move together (in Hayati Magufuli voice)---Mshkaji muda wote anawaza how to transform his country----Sisi muda wote tunawaza namna ya kuipondaponda mbususu
Nikweli maana wanafaidika wachache.Wayaibe tu maana hata wakituachia hatuna cha kuyafanyia.Hatutengenezi Vito vya thamani,Uranium hatutengenezei mabomu ya nuclear etc
Yaibiwe tu.
Jamaa ana roho mbaya hata kwa familia yake nakujifanya mungu mtu. Mtawala wa Abudhabi ni alazayid mtu fresh sana mcha Mungu. Lakini huyuPoint yako ya msingi hasa ni ipi?