Wangebaki na mawazo mfu ya Mao wangekuwa SAwa na tanzania tu maendeleoMao alikaa na madini yake chumbani wee!! Daa! Jamaa wanajiuliza: Huyu dingi ataondoka lini huyu?
Alivyosepa tu! Ikawa balaa!! Mambo yakawa: Beberu eeee!! Ameishasepa njoo!!
Paaap!! Beberu akaingia!!
Sasa Mchina ni wa pili kwa USA, na akiteleza tu, anamuovateki!!