Picha: Kwa hatua hii ya Dubai, kweli Tanzania tumelogwa

Picha: Kwa hatua hii ya Dubai, kweli Tanzania tumelogwa

Mama J Day

classic105kenya_1631283163740.jpg
 
Kama nchi imeshindwa kuendelea basi endelea wewe, kila inapofika BD yako jitathmini mwenyewe na ujilinganishe na wale wanaofanana na wewe kielimu na kimalezi, nchi inaweza kuwa na barabara nzuri,majengo mazuri, shule nzuri na hospitali bora lakini wananchi wakawa maskini.
 
JAMANI vyama ni watu ndiyo huunda vyama.Swali je sisi Watanzania tuna wataalamu wenye ueledi ?Je hatuna tabia ya kubebana kwenye fursa ili tupige Hela?Kama hivyo ndivyo tubadilike .Kwanza tuwe na wataalamu wenye ueledi,pili tuache ukiritimba na ubabaishaji ,TATU tuwe na mapenzi ya dhati kwa nchi na wananchi,NNE turekebishe mfumo wa ELIMU unaofunza ufisadi badala ya uzalendo,Tano tuchape KAZI jamani kwa weledi na moyo wote.
 
Kama nchi imeshindwa kuendelea basi endelea wewe, kila inapofika BD yako jitathmini mwenyewe na ujilinganishe na wale wanaofanana na wewe kielimu na kimalezi, nchi inaweza kuwa na barabara nzuri,majengo mazuri, shule nzuri na hospitali bora lakini wananchi wakawa maskini.
Ni bora aina hiyo ya maendeleo ya mabarabara na majengo mazuri kuliko watu mnajifanya matajiri kumbe ni mafisadi na nchi kuonekana ovyo kwenye mipangilio ya miundombinu.
 
Huo ndiyo uzalendo hasa!Unaitoa nafsi yako ihenyeke kujenga nchi.Na ukiona hawakuelewi unawapa na mke kabisa.Utaoa mwingine.😝😝😝😝
Hata kama ataoa mwengine jamaa inamuuma maskini mlinzi tena kafiri waif kagongwa nakunogewa nakuomba talaka. Ijatosha licha ya nguvu na hela alizonazo bado tu kazuiliwa kuona watoto wake.

Acha ya mpate tu malipo ni hapa hapa duniani. Ametesa sana vibarua kutoka nchi maskini Africa india Bangladeshi na Pakistani kwa kuwafanyisha kazi kama watumwa kwa masaa mengi na mshahara kidogo hao waliojenga Dubai wengi ni marehemu kwa unyanyasaji na wazima ni wagonjwa. Uchoyo na roho mbaya ukizingatia utajiri Dubai unao. Sasa kagongewa
 
😂😂😂 Yaan Inaumiza at the same time inachekesha.
China Wana recourses asili nyingi na Wanafanya kazi sana + akili Lakin hawakuweza toka pale walipokua hadi pale mabeberu walipo wekeza kwa nguvu ndiyo Leo China tunaona iko pale.
Muda utaongea
Mao alikaa na madini yake chumbani wee!! Daa! Jamaa wanajiuliza: Huyu dingi ataondoka lini huyu?
Alivyosepa tu! Ikawa balaa!! Mambo yakawa: Beberu eeee!! Ameishasepa njoo!!
Paaap!! Beberu akaingia!!
Sasa Mchina ni wa pili kwa USA, na akiteleza tu, anamuovateki!!
 
Mao alikaa na madini yake chumbani wee!! Daa! Jamaa wanajiuliza: Huyu dingi ataondoka lini huyu?
Alivyosepa tu! Ikawa balaa!! Mambo yakawa: Beberu eeee!! Ameishasepa njoo!!
Paaap!! Beberu akaingia!!
Sasa Mchina ni wa pili kwa USA, na akiteleza tu, anamuovateki!!
Mganga wa umaskini ni Tajiri sio traditional healer etc.. Tajiri akikushika mkono hata kama huna experience ama mtaji ujue umetoboa.
Sera za Mao hazikuwa na Impact yoyote kwenye uchumi wa China hadi pale Deng Xiaoping alivyoujua ukweli machungu kuwa bila Beberu hatutoboi
 
Mganga wa umaskini ni Tajiri sio traditional healer etc.. Tajiri akikushika mkono hata kama huna experience ama mtaji ujue umetoboa.
Sera za Mao hazikuwa na Impact yoyote kwenye uchumi wa China hadi pale Deng Xiaoping alivyoujua ukweli machungu kuwa bila Beberu hatutoboi
Mkuu Congo wamewakaribisha matajiri mabeberu lakini bado wanapiga Marktime. Ingekuwa rahisi hivyo kuwa Nchi tajiri nafikiri umasikini ungepunguwa sana Duniani.

Sera za Mao hazikuwa nzuri kwa 100% lakini kwa namna flani ziliwapa kujiamini na kuamini Utaifa. DeDeng kaijenga China juu ya Nchi ambayo tayari kiongozi wa kwanza alishamaliza kazi yake kwa mtazamo wake. Hakuna Kiongozi anayeijenga Nchi akamaliza, unasahihisha pale mwenzako alipokosea unasonga mbele.
 
Mkuu Congo wamewakaribisha matajiri mabeberu lakini bado wanapiga Marktime. Ingekuwa rahisi hivyo kuwa Nchi tajiri nafikiri umasikini ungepunguwa sana Duniani.

Sera za Mao hazikuwa nzuri kwa 100% lakini kwa namna flani ziliwapa kujiamini na kuamini Utaifa. DeDeng kaijenga China juu ya Nchi ambayo tayari kiongozi wa kwanza alishamaliza kazi yake kwa mtazamo wake. Hakuna Kiongozi anayeijenga Nchi akamaliza, unasahihisha pale mwenzako alipokosea unasonga mbele.
Uwekazaji wa mabeberu wanaofanya Africa sio Uwekazaji wa nguvu kama wanaofanya nje ya Africa.
Hata Tanzania tunao mabeberu Lakin hawajawekeza kama walivyowekeza S/Korea ama China.
Shida ni kwamba kuhusu Africa tuna Sera mbovu dhidi ya wawekazaji.
Tunabadilika badilika, Leo huyu atakuja na Sera hii kesho huyo atakuja na Sera yake nyingine, wawekazaji wanashindwa ingiza mitaji Yao.
Mfn:,
Kulikuwa na haja gani CCM kuwananga mabeberu kuwa wanatuibia ilhali ni Hao Hao ndiyo waliosain mikataba?
Tujiulize sekesekela la makinikia kama taifa tulinufaika nini nje na alielinzisha kuvuna sifa za kisiasa tu?.
 
Mkuu Congo wamewakaribisha matajiri mabeberu lakini bado wanapiga Marktime. Ingekuwa rahisi hivyo kuwa Nchi tajiri nafikiri umasikini ungepunguwa sana Duniani.

Sera za Mao hazikuwa nzuri kwa 100% lakini kwa namna flani ziliwapa kujiamini na kuamini Utaifa. DeDeng kaijenga China juu ya Nchi ambayo tayari kiongozi wa kwanza alishamaliza kazi yake kwa mtazamo wake. Hakuna Kiongozi anayeijenga Nchi akamaliza, unasahihisha pale mwenzako alipokosea unasonga mbele.
Strict supervision! Congo misses that. Adhabu ya Mchina kwa mhujumu uchumi ni kupigwa risasi! Na inatekelezwa.
Hakuna masihara.
Nani ataiba? Well, wapo wanaojaribu!
 
Mganga wa umaskini ni Tajiri sio traditional healer etc.. Tajiri akikushika mkono hata kama huna experience ama mtaji ujue umetoboa.
Sera za Mao hazikuwa na Impact yoyote kwenye uchumi wa China hadi pale Deng Xiaoping alivyoujua ukweli machungu kuwa bila Beberu hatutoboi
Mkuu Congo wamewakaribisha matajiri mabeberu lakini bado wanapiga Marktime. Ingekuwa rahisi hivyo kuwa Nchi tajiri nafikiri umasikini ungepunguwa sana Duniani.

Sera za Mao hazikuwa nzuri kwa 100% lakini kwa namna flani ziliwapa kujiamini na kuamini Utaifa. DeDeng kaijenga China juu ya Nchi ambayo tayari kiongozi wa kwanza alishamaliza kazi yake kwa mtazamo wake. Hakuna Kiongozi anayeijenga Nchi akamaliza, unasahihisha pale mwenzako alipokosea unasonga mbele.
Strict supervision! Congo misses that. Adhabu ya Mchina kwa mhujumu uchumi ni kupigwa risasi! Na inatekelezwa.
Hakuna masihara.
Nani ataiba? Well, wapo wanaojaribu!
Kwa hiyo hapa tukubaliane. Uongozi thabiti na wakati muafaka. Si suala tu la kuwakaribisha mabeberu!
 
Mkuu huyo jamaa hana furaha kabisa. Waliyokaribu naye wanadai analaani kichiz mke wake kuliwa na kafiri na maskini hadi kumtoroka. Sasa hivi hata hawezi kuwaona watoto wake. Kuna wakati alichanganyikiwa akawa anaandika mashairi tu.

Mkewe si ni yule Pisi kali ambae ni mtoto wa aliekua mfalme wa Jordan?
 
Upo nje ya mada mkuu,ungefungua uzi wa kwako kuhusu hilo uliloliandika.
Na wewe umegongewa pia nini? Mkishakamata vijichenji mnakuwa vimungu watu. Dawa yenu ni sisi maskini kuwagongea tu wake zenu na mademu
 
View attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.
Moja ya shida za wabongo ni kuwaza ngono all the time.... Huyo jamaa ameleta mageuzi makubwa sana nchini kwake na dunia inamtambua jinsi alivyoyumia resources chache walizonazo kubadilisha jangwa kuwa tourist centers... Angewaza ngono kama wewe asingefika Popote kwa sababu mbunye si ya kushindana nayo, na ndiyo maana hata yeye hapo atakuwa na wanawake wengi...
 
Back
Top Bottom