Wangebaki na mawazo mfu ya Mao wangekuwa SAwa na tanzania tu maendeleoMao alikaa na madini yake chumbani wee!! Daa! Jamaa wanajiuliza: Huyu dingi ataondoka lini huyu?
Alivyosepa tu! Ikawa balaa!! Mambo yakawa: Beberu eeee!! Ameishasepa njoo!!
Paaap!! Beberu akaingia!!
Sasa Mchina ni wa pili kwa USA, na akiteleza tu, anamuovateki!!
Starehe haizuii mtu kuwa na maendeleo.Moja ya shida za wabongo ni kuwaza ngono all the time.... Huyo jamaa ameleta mageuzi makubwa sana nchini kwake na dunia inamtambua jinsi alivyoyumia resources chache walizonazo kubadilisha jangwa kuwa tourist centers... Angewaza ngono kama wewe asingefika Popote kwa sababu mbunye si ya kushindana nayo, na ndiyo maana hata yeye hapo atakuwa na wanawake wengi...
True hata sisi bila kiherehere cha kina Nyerere na wenzake tungekuwa mbali sana kiuchumi.Nilichomaanisha ni kwamba:, pesa ya makampuni ya mabeberu ndiyo inqjenga Qatar, Saudi etc.
Waraabu hawakujua kuwa wanamafuta, hata baada ya kujua kuwa wanamafuta chini ya ardhi baada ya mabeberu kufanya tafiti bado hawakuwa na nyenzo kazi za kuyatoa ardhini hadi kwenye mapipa.
Ili bidi show asimamie beberu kuchimba na mnunuzi mkubwa akawa ni yeye mwarabu yeye kazi yake ikawa ni kusaini mikataba tu.
Kujiua kisa mke au mapenzi ni ubinafsi na ukatili wa hali ya juu Sana.sio ishu,balaa ni pale huna hela,huna umaarufu wala umashuhuri,na unachapiwa mkeo mpaka wanamuiba.
unajiua[emoji26][emoji26].
mwamba kinachombana labda ni crown tu,ila anaweza kula demu yeyote,isipokuwa hataweka wazi maana ni haram.
Huyo mlinzi kanyongwa au kakatwa kichwa?View attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.
Petro Dolla moneyaya ndio maendeleo ya Dubai ndani ya miaka michache,waTanzania sisi tumelogwa miaka zaidi ya 50 hakuna jipya.
View attachment 1934527
Tena kwa nchi kama ya kwetu yenye malighafi zote ni rahisi sana kuwa na sera nzuri za kuwawezesha wawekezaji wa kigeni kujenga viwanda vyao hapahapa na kuajiri watanzania ambao wengi ni vijana wamejaa mijini hawana kazi.Sera ya uwekezaji ikiwa nzuri itawavutia matajiri mbalimbali duniani kuja kuwekeza; tajiri yeyote anataka uhakika/usalama wa mali zake hata miaka mia ikibidi. Nb; tajiri ndio anayetengeneza ajira, na masikini ndio anayeajiriwa.
Mnataka maendeleo makubwa ya vitu visivyo vyenu,au madogo ya vitu vilivyo vyenuView attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.
Mawazo yako ndiko yalikoelemeNa wewe umegongewa pia nini? Mkishakamata vijichenji mnakuwa vimungu watu. Dawa yenu ni sisi maskini kuwagongea tu wake zenu na mademu
Mkaldayo bana..utakuja kupigwa risasi ya kwenye mapumbuh..matajiri wana roho mbaya sana.Na wewe umegongewa pia nini? Mkishakamata vijichenji mnakuwa vimungu watu. Dawa yenu ni sisi maskini kuwagongea tu wake zenu na mademu
UtopoloDubai, Qatar etc zinajengwa na mabeberu na watu wa mashariki ya mbali.. Tanzania mabeberu wanatukanwa na Wana siasa na kubezwa.
Tukubalini kuvuta mkia.
Ukweli mchungu..Nyerere mzee wetu huyu kuna namna alivuruga mambo..tulipaswa kuwa mbali sana ukanda huu wa sub-saharan.True hata sisi bila kiherehere cha kina Nyerere na wenzake tungekuwa mbali sana kiuchumi.
....na kunywa kahawa!Nilichomaanisha ni kwamba:, pesa ya makampuni ya mabeberu ndiyo inqjenga Qatar, Saudi etc.
Waraabu hawakujua kuwa wanamafuta, hata baada ya kujua kuwa wanamafuta chini ya ardhi baada ya mabeberu kufanya tafiti bado hawakuwa na nyenzo kazi za kuyatoa ardhini hadi kwenye mapipa.
Ili bidi show asimamie beberu kuchimba na mnunuzi mkubwa akawa ni yeye mwarabu yeye kazi yake ikawa ni kusaini mikataba tu.
😂😂....na kunywa kahawa!
Hajamuua kweliView attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.
Na huyo mkewe sio "kuku wa kienyeji" ujue. Ni princess of the Kingdom of Jordan.View attachment 1934544jamaa licha ya kuibadilisha Dubai na utajiri wa mabilion kaja kugongewa mke wake na mlinzi hana kitu tena mke wake kipenzi wa mwisho.