Picha: Kwa mtu aliye mgonga Twiga kama hivi faini yake huwa bei gani?!

Picha: Kwa mtu aliye mgonga Twiga kama hivi faini yake huwa bei gani?!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu, naaamini humu kutakuwa na wajuzi watakaoweza kujibu swali langu hili.

Kama umegonga Twiga kama inavyoonekana hapo pichani, faini yake huwa ni shingapi?

Hii picha nimekutana nayo huko X na imenipa maswali mengi.

Na hiyo hela ukishalipa inaenda kwa familia ya Twiga kama fidia au inaenda wapi?

Twiga X.jpg
 
Wakuu, naaamini humu kutakuwa na wajuzi watakaoweza kujibu swali langu hili.

Kama umegonga Twiga kama inavyoonekana hapo pichani, faini yake huwa ni shingapi?

Hii picha nimekutana nayo huko X na imenipa maswali mengi.

Na hiyo hela ukishalipa inaenda kwa familia ya Twiga kama fidia au inaenda wapi?

Hii ya miaka kama mitano au sita iliopita. Faini ni 35m kama ni wneo la hifadhi kama hapo ilikuwa Mikumi national park.
Kama una insurance mzigo wao huo.
 
Back
Top Bottom