Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuso kopo sana,yaani ndo imebonyea hivyo!?Wakuu, naaamini humu kutakuwa na wajuzi watakaoweza kujibu swali langu hili.
Kama umegonga Twiga kama inavyoonekana hapo pichani, faini yake huwa ni shingapi?
Hii picha nimekutana nayo huko X na imenipa maswali mengi.
Na hiyo hela ukishalipa inaenda kwa familia ya Twiga kama fidia au inaenda wapi?
Simba hazuruli hovyo.Mbona simba huwa hawagongwi? Twiga, tembo huwa wanagongwa sana!
Simba mjanja anavuka barabara chap sasa twiga na mwenzie tembo wanavuka kwa maringoMbona simba huwa hawagongwi? Twiga, tembo huwa wanagongwa sana!
Hutokea ghafla tu anavukaHivi unamgongaje Twiga namna hiyo, mnyama mpole mwenye mwendo wa maringo ni wazi dereva alikua speed, apewe anachostahili
Twiga yuko nyumbani kwake. Njia inakatiza uani kwenye nyumba ya twiga.Sio kwamba twiga ndio ameligonga gari..maana gari lilikuwa kwenye njia yake😏
Kama bavichaaUkutane na nyumbu ni wabishi, wanasimama katikati ya barabara hawaondoki wanashangaa gari tu
Mkuu ni hatari,sungura thamani yake ni 800K ilihali hata kilo mbili hafikiFisi ilitakiwa wala kusiwe na faini,tena huyo fisi achapwe viboko.
Twiga yupo ndani ya hifadhi maana yake yupo nyumbani kwake,,kwaio gari ndo limemgonga.Hapo ni twiga kagonga gari. Si unaona gari lilivyokongoroka?
Hizi sheria, basi tu unakuta mnyama pori ana haki kuliko binadamu, Kuna jamaa aliwahi kugonga Swala akamuweka ndani ya gari aisee nilimshangaa sana maana angedakwa hapo unaweza kusikia anafungwa miaka ya kutoshaTwiga yuko nyumbani kwake. Njia inakatiza uani kwenye nyumba ya twiga.
Eboooo nkajua unabinuka na nyamaaaKama m30 hivi!!
Na nyama hachukui!
Huyu yeye ndio anatakiwa alipe faini. Kwa tabia zake za kukimbia hovyo ni wazi yeye ndio msababisha ajali.Naomba kujua fine ya Kugonga KASONGO YEYEEE
Unamaanisha milioni miasaba?(700000000)Faini yake sio mchezo ni kiinua mgongo cha mwalimu
wanaitwa nyumbu wa ufipaKama bavichaa
Angefungwa huyo. Hukumbuki yule mama alikula mvua kwa kukutwa na nyama ya swala? Nafikiri aliachiwa baada ya watu wa haki za binadamu kuingilia.Hizi sheria, basi tu unakuta mnyama pori ana haki kuliko binadamu, Kuna jamaa aliwahi kugonga Swala akamuweka ndani ya gari aisee nilimshangaa sana maana angedakwa hapo unaweza kusikia anafungwa miaka ya kutosha