and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Inabidi auze hilo gari na mizigo..Tembo na twiga ni usd 15000 kama haijabadilika hapo ni kama 39.7M hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi auze hilo gari na mizigo..Tembo na twiga ni usd 15000 kama haijabadilika hapo ni kama 39.7M hivi
Dereva kazinguaWakuu, naaamini humu kutakuwa na wajuzi watakaoweza kujibu swali langu hili.
Kama umegonga Twiga kama inavyoonekana hapo pichani, faini yake huwa ni shingapi?
Hii picha nimekutana nayo huko X na imenipa maswali mengi.
Na hiyo hela ukishalipa inaenda kwa familia ya Twiga kama fidia au inaenda wapi?
Fisi wana umuhimu mkubwa Sana hifadhini hao ndio mabwana afya .Fisi ilitakiwa wala kusiwe na faini,tena huyo fisi achapwe viboko.
Yaani 200M ?Faini yake sio mchezo ni kiinua mgongo cha mwalimu
Aliyemgonga Sokoine huko Morogoro alilipa faini Tsh ngapi????😳Sasa million 40 ya kuijadili humu na nyie..? Watu wanagonga wake za wenye mamlaka sembuse twiga
Ha ha ha wewe una akili angalau za kuvukia barabara.😀😀Binadamu ni 30k
Ila mkuu was kiinua mgongo cha mwl necessary!!! Nimelia sasa 😭😭😭Faini yake sio mchezo ni kiinua mgongo cha mwalimu
Sasa ukigonga fisi si unamtupa unaenda zako vileFisi thamani yake ni 4M
Elfu thelathini.Amos Nnko, Mkurugenzi ofisi ya Msajili wa Hazina, bintiye wafariki ajalini Same.
Huyu alipigwa fain Tsh ngapi??
Wewe huna akili timamu kabisa. Na mkeo ni mali ya umma tena wenye mikono ya sweta.Sasa million 40 ya kuijadili humu na nyie..? Watu wanagonga wake za wenye mamlaka sembuse twiga
Mke wangu ni mama yako aliyekuzaa msengerema wewe kuwa na adabu...Wewe huna akili timamu kabisa. Na mkeo ni mali ya umma tena wenye mikono ya sweta.