Picha: Kwa mtu aliye mgonga Twiga kama hivi faini yake huwa bei gani?!

Fuso kopo sana,yaani ndo imebonyea hivyo!?
 
Twiga yuko nyumbani kwake. Njia inakatiza uani kwenye nyumba ya twiga.
Hizi sheria, basi tu unakuta mnyama pori ana haki kuliko binadamu, Kuna jamaa aliwahi kugonga Swala akamuweka ndani ya gari aisee nilimshangaa sana maana angedakwa hapo unaweza kusikia anafungwa miaka ya kutosha
 
Hizi sheria, basi tu unakuta mnyama pori ana haki kuliko binadamu, Kuna jamaa aliwahi kugonga Swala akamuweka ndani ya gari aisee nilimshangaa sana maana angedakwa hapo unaweza kusikia anafungwa miaka ya kutosha
Angefungwa huyo. Hukumbuki yule mama alikula mvua kwa kukutwa na nyama ya swala? Nafikiri aliachiwa baada ya watu wa haki za binadamu kuingilia.

Hizi sheria ni kwa ajili ya kulinda hawa wanyama vinginevyo wataisha. Ni sheria ndani ya eneo la hifadhi. Nje ya hifadhi hakuna hizi sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…