Picha: Kwa mtu aliye mgonga Twiga kama hivi faini yake huwa bei gani?!

Dereva kazingua
 
Sasa million 40 ya kuijadili humu na nyie..? Watu wanagonga wake za wenye mamlaka sembuse twiga
 
Mtu aliyegonga na kuua twiga anatakiwa kulipa faini ya dola za kimarekani 15,000 ambazo ni sawa na takriban shilingi milioni 34 za Kitanzania.

Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Ignas Gara, alisema hiyo faini kutokana na tukio la dereva wa lori aliyegonga na kumuua twiga katika hifadhi hiyo.
 
Aliyegonga wabunge zaidi ya 20 yeye vipi😕
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-06-10-29-13-966_com.instagram.android-edit.jpg
    520.1 KB · Views: 3
Amos Nnko, Mkurugenzi ofisi ya Msajili wa Hazina, bintiye wafariki ajalini Same.
Huyu alipigwa fain Tsh ngapi??
 

Attachments

  • IMG-20241223-WA0017.jpg
    33.4 KB · Views: 2
Sasa million 40 ya kuijadili humu na nyie..? Watu wanagonga wake za wenye mamlaka sembuse twiga
Wewe huna akili timamu kabisa. Na mkeo ni mali ya umma tena wenye mikono ya sweta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…