Hii ya miaka kama mitano au sita iliopita. Faini ni 35m kama ni wneo la hifadhi kama hapo ilikuwa Mikumi national park.
Kama una insurance mzigo wao huo.
Nasema hivi mkeo ni chakula ya watu wenye mikono ya sweta zingatia hili. Hayo ya kusema ni mama yangu unajipa tu moyo ila ndiyo hivyo.. Watu hawana baya.. wewe jicommentishe hapa Jf kama Zumbukuku!