Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
- Thread starter
- #21
hahahaha MKUUNatamani campaign zingekuwa zinafanyika Kwa miezi 4 hivi ili magufuli aendelee KUTUPIGIA MAGOTI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha MKUUNatamani campaign zingekuwa zinafanyika Kwa miezi 4 hivi ili magufuli aendelee KUTUPIGIA MAGOTI
Mkuu Ratiba zetu inabidi tuziangalie upyaa Mkutano wa Moshi mjini umeshindikana watu wanamiminika mabarabarani kama nzige...
Thanks , Lakini haibadilishi uhalisia, utatukana, utajinyea lakini ukweli ndio huo mojacni Raisi wa Mitandao na Mwingine ni Raisi wa NchiWai leba
Wanyooshe mikono juu....hili ni Gharika Somba SombaHii ni hatari kwa usalama wa magufi na maccm yake
Wanajuta kumzuia kuruka na Helikopta aisee,bora wangemruhusu tu
Hata waibe kura vipi hawatazimaliza. Lissu tayari ni rais wa nchi hii. Na wasirogwe wajaribu kuiba, watakiona cha mtema kuni. Najua kusikia kwa kenge mpaka atoke damu masikioni, sasa acha wajaribu.
Kwa hiyo huo umati unaona uko mitandaoni? Wahutu wa hovyo sanaRaisi wa mtandaoni hongera zake na zako pia kwa ushindi wa mtandaoni
Ndio niliwapigia simu kwamba umechanika pasto unakwenda na ambulance , hivyo wametayarisha vifaa vyote , so don't worry , u will be in safe hands though u u r "stinking," ndio hali halisi we have to accept itAsante Mkuu usihofu Madokta na manesi wanakusubiri kila la kheri.....
Hasira za nini wee mamaaa watakuniuwa buree mamaaa mimi siwako ..chuki ya nini mimi na wewe....da bendi ya Simba wa nyika balaaNdio waliniambia marinda yako hayapo hivyo kinyesi kinakutoka, pole sana ndugu , ukiwafuata wanaotibu fistula Nafikiri watakusaidia
Sasa kura za marangu ndio za nchi nzima.Kwa hiyo huo umati unaona uko mitandaoni? Wahutu wa hovyo sana
Awaishwe leba mfuko ushapasuka
Ujue nawashangaa sana Lumumba nyie kwa hiyo mitandaoni hakuna wapiga kula ila kwenu nyie ndio wapo wapiga kula mwaka Huu lazima maji muite umma.Raisi wa mtandaoni hongera zake na zako pia kwa ushindi wa mtandaoni
ndo kazi zetu madokta ni kuhakikisha kiumbe kinafika salama Duniani bila kujali MAKEKE ya mbebaji....teh teh tehNdio niliwapigia simu kwamba umechanika pasto unakwenda na ambulance , hivyo wametayarisha vifaa vyote , so don't worry , u will be in safe hands though u u r "stinking," ndio hali halisi we have to accept it
It is good that now u r singing keep doing that, at least itakutoa kutoka kwenye ndotoHasira za nini wee mamaaa watakuniuwa buree mamaaa mimi siwako ..chuki ya nini mimi na wewe....da bendi ya Simba wa nyika balaa
Numbers count sio Maneno au maandishiUjue nawashangaa sana Lumumba nyie kwa hiyo mitandaoni hakuna wapiga kula ila kwenu nyie ndio wapo wapiga kula mwaka Huu lazima maji muite umma.
Na pia kukusafisha kinyesi licha ya shida zako na kunuka kwako. Inabidi tukuvumilie.ndo kazi zetu madokta ni kuhakikisha kiumbe kinafika salama Duniani bila kujali MAKEKE ya mbebaji....teh teh teh
Najua unayaandika haya ukiwa umekata tamaa na kwa maumivu makubwa ya kukosa buku 7 kuanzia NovemberKwenye ikulu za ndoto nafasi zipo nyingi