Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkombozi Katumwa na Mungu.....Kwa kweli inapendeza hivi sasa kila sehemu naona kama kuna mashindano ya kumpokea TAL mbeba maono.
Kama magu kilaza namna hii aliingia ikulu sasa lisu akili mingi inashindikana nn kama wazee wa ccm wanamtaka lisu sembuse weweKwenye ikulu za ndoto nafasi zipo nyingi
Leo kuna alieomba kura ya Sugu akamsugue.......
Vioja vya kuchanganyikiwa haviishi.
Mkuu wacha tu leo tupo hapa Marangu mtoni Mbege baridiiii na ile nyama inayofungwa kwenye majani ya MIGOMBAWamarangu mmeniwakilisha vyema
Ubarikiwe Mkuu kahamasishe wengine 10 Mungu atendeNilikuwa maeneo ya sehemu panaitwa redstone pale moshi kwa Basi naelekea hom chuganian. Kwa kweli kwa umati ule tulisimama pale karibia nusu saa tukisubiri watu waishe.
Kuuliza vizuri maeneo Yale naambiwa kwa nyuma ya pale redstone ndo alikuwa anafanya mkutano. Nahisi huyu jamaa anaweza kushinda kwa Kile nilichokiona Leo pale moshi
Nitafanyya hivyo mkuu. Tuzidi kumuombea kwa MunguUbarikiwe Mkuu kahamasishe wengine 10 Mungu atende
duh....Pale mzee ndio kaharibu kabisa
Ngoja nikuandikie kwa kimombo....Raisi wa mtandaoni hongera zake na zako pia kwa ushindi wa mtandaoni
In your dreams, keep on dreamingKama magu kilaza namna hii aliingia ikulu sasa lisu akili mingi inashindikana nn kama wazee wa ccm wanamtaka lisu sembuse wewe
Mafiati Mbeya wanakusubiri...In your dreams, keep on dreaming
Kuna jamaa kwenye sinema ya Yesu, aliambiwa Yesu ni Mfalme, akasema “Mfalme wa masikin, wagonjwa na wenye ukoma? Tuliwaona watu kama hao wakimfuata!” Siyo ajabu Wewe kusema hivyo, na si wa kwanza kushindwa kuona mambo yaliyo wazi kabisa kwa wengine!Raisi wa mtandaoni hongera zake na zako pia kwa ushindi wa mtandaoni
Mkuu wacha tu leo tupo hapa Marangu mtoni Mbege baridiiii na ile nyama inayofungwa kwenye majani ya MIGOMBA
Natamani campaign zingekuwa zinafanyika Kwa miezi 4 hivi ili magufuli aendelee KUTUPIGIA MAGOTI
Asante Mkuu ubarikiweKuna jamaa kwenye sinema ya Yesu, aliambiwa Yesu ni Mfalme, akasema “Mfalme wa masikin, wagonjwa na wenye ukoma? Tuliwaona watu kama hao wakimfuata!” Siyo ajabu Wewe kusema hivyo, na si wa kwanza kushindwa kuona mambo yaliyo wazi kabisa kwa wengine!
absolutely YES.....Ngoja nikuandikie kwa kimombo....
Mr Lissu is ascending to power....