Binamu kila MTU kule Denmark anamshangaa!!! Wanajiuliza send off na party za nguvu pamoja na kuhudhuriwa na vigogo kaenda kuishi maisha yale DK? Wengi wanamshangaa maana alikuwa na nafasi nzuri Sana hapa TZ kuliko kwenda kujidhiki kule mpaka khanga na vitenge vya kuchezea ngoma wanaazima!!!
Binamu kila MTU kule Denmark anamshangaa!!! Wanajiuliza send off na party za nguvu pamoja na kuhudhuriwa na vigogo kaenda kuishi maisha yale DK? Wengi wanamshangaa maana alikuwa na nafasi nzuri Sana hapa TZ kuliko kwenda kujidhiki kule mpaka khanga na vitenge vya kuchezea ngoma wanaazima!!!
Binamu kila MTU kule Denmark anamshangaa!!! Wanajiuliza send off na party za nguvu pamoja na kuhudhuriwa na vigogo kaenda kuishi maisha yale DK? Wengi wanamshangaa maana alikuwa na nafasi nzuri Sana hapa TZ kuliko kwenda kujidhiki kule mpaka khanga na vitenge vya kuchezea ngoma wanaazima!!!
Ila kanyoa kapendeza maana nilikua namuona kama kizee flani hivi.
Duh, kama hapo ndio kapendeza sina hata haja ya kuona alivyokuwa kabla.
Maana sura imezeeka mpaka kamuambikiza kuzeeka mtoto.
Duh, kama hapo ndio kapendeza sina hata haja ya kuona alivyokuwa kabla.
Maana sura imezeeka mpaka kamuambikiza kuzeeka mtoto.
Jamanii looo
Mambo vipi?
Wabongo kila kitu lazima mponde,au wengine mna wivu,mtu kapendeza inatosha. Kama huna la kusema si uache tu kuliko kuandika vitu vya ajabu kwa kulazimisha,eeee watz bna!!
Hata wewe unaponda tunavyoponda.
Ila wewe utakuwa nusu,tambua MADA,MIM CJAWADILI NYIE KAMA MADA,NAONGELEA KITU KILICHOPO HAPA,KWANI WEWE AU MIM HATA TUSIPOSEMA CHOCHOTE HIO PICHA ITABAKI KAMA ILIVYO,MANENO YETU HAYATAIBADILI HIO PIC,SEMA WABONGO TUNATABIA YA KUWA NA WIVU AFU UKUTE wewe ni mwanaume unaponda hapa si usho**huo,wazungu hapa nilitgemea kukutana ns comment kama m,good,cute,awesome,nice pic,but sisi matusi kwenda mbeke huo ni ushamba!!
Kwa nini unataka kutufungia uhuru wa kujieleza wakati motto ya JF ni "Where we dare to talk openly" ?
Go on,i assume you'ren't my level,continue arguing with you,is a childish game,wasbr wenzio!
Poa 😊😊
Shoga ivi hapa ungeongeleshwa kidhungu ungejibu?? Kwi kwi kwo!