Picha: Lucy Komba ndani ya selfie

Picha: Lucy Komba ndani ya selfie

SAsa hayo masharti ndo siyawezi, yani nisiseme kuwa naenda ulaya au? Wambea watajuaje? Hlo sharti gumu kwa kweli

Tutarogwa binamu si unajua wabongo tulivyo wachawi
 
Wadada fanya kupita ladytiger_fashions instagram na Facebook ujionee vya ukweli kuanzia beach, club, ofisini, casual hadi vya ukweni
Kaka wapendezeshe uwapendao... Umaridadi huficha umasikini njoo huku hutojutia... Ni dhambi mbaya kukosa kuvutia na suluhisho lipo

IVi Dinazarde beach unaendaga kweli binamu? Au ndo umbea mwanzo mwisho?
 
Last edited by a moderator:
Muke ya mzungu aka lucy komba (pichan ) akiwa kaweka pozi matata, pamoja na mtoto wake wa kiume. Ila lucy sio kwa pozi hilo, na ilo jicho vipi tena? Au ndo matunda ya ndoa? By the way tumemis wedding yako matata pamoja na galaxy yako


Amejambisha watu hapo mjini kaenda kuolewa na maskini tena anaishi kijijiiini huko Denmark!!!
 
Amejambisha watu hapo mjini kaenda kuolewa na maskini tena anaishi kijijiiini huko Denmark!!!

Bora kijijin ya Denmark binamu kuliko ya bongo mjini sasa hivi mna mafuriko tu
 
Bora kijijin ya Denmark binamu kuliko ya bongo mjini sasa hivi mna mafuriko tu

Binamu lucy anapoishi na maisha anayoishi huko Denmark bora ufunikwe na maji buguruni lakini unaishi na watu na kampani yakutosha kuliko kuishi Kama swala maporini...

Halafu kwa zile mbwembwe na alichoenda kufanya huko DK ni ujinga mtupu anahangaika kujichezesha ngoma tu mzungu kamgeuka huko ...

Yaani mateso yale kisa tu uonekane umeolewa na Mzungu??

Too low aisee!!!!
 
Binamu lucy anapoishi na maisha anayoishi huko Denmark bora ufunikwe na maji buguruni lakini unaishi na watu na kampani yakutosha kuliko kuishi Kama swala maporini...

Halafu kwa zile mbwembwe na alichoenda kufanya huko DK ni ujinga mtupu anahangaika kujichezesha ngoma tu mzungu kamgeuka huko ...

Yaani mateso yale kisa tu uonekane umeolewa na Mzungu??

Too low aisee!!!!

Ndio maana kazidi kuchakaa, uko mzito kama dafu la kimbiji
 
Ndio maana kazidi kuchakaa, uko mzito kama dafu la kimbiji

Binamu kila MTU kule Denmark anamshangaa!!! Wanajiuliza send off na party za nguvu pamoja na kuhudhuriwa na vigogo kaenda kuishi maisha yale DK? Wengi wanamshangaa maana alikuwa na nafasi nzuri Sana hapa TZ kuliko kwenda kujidhiki kule mpaka khanga na vitenge vya kuchezea ngoma wanaazima!!!
 
Back
Top Bottom