hizo picha NIlipiga wakati tunashoot na TMT edition Mwanza na nilishoot na Joti
kama naenda kununua madini na hiyo pic ilianza kuwekwa kwenye page ya TMT kama promo
ya kipindi..... sasa wengine mkiona picha tu hamtaki maelezo yaani kichwa cha habari kinawatosha
maelezo mnajua pa kuyatoa..jamani kuuliza si ujinga na wengine mna namba zetu na acces za kutufikia
mnazo..kwanini tunakwazana kwa mambo madogo jmn???Hapa nilipo nina shida zangu kibao.. Na
huo sina kwanza...Muwage nauliza kabla ya kutoa exclusive zenu...........