Picha: Lulu atoa sadaka ya shukrani kanisani

when i see Lulu i see the blessed virgin of almighty, in short ni Biharusi wa Bwana,Glory be to the Highest.
 

Bwana asifiwe Lulu!!

lol....
 
mwenzangu ngoja mama mchungaji amsikie, atafanya lulu afukuzwe kanisani, maana kale katoto kana pepo la kuiba waume za watu jamani
Umeonaeee,hapo madhabahuni tu mchungaji yuko hoi,naona amesahau kuwa yuko mbele ya waumini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…