Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengine wanazaliwa nayo. Ila sizitetei sana hizo picha.Si kweli! Hizo picha ni za uongo! Tangu lini mtoto akawa na meno huko tumboni?
Yanakuepo, yanatemgenezwa pamoja na mataya sema anapozaliwa yanakuwa hayajachomoza...(Developmental Anatomy hiyo, watu wanakaa semester nzima kusoma).Si kweli! Hizo picha ni za uongo! Tangu lini mtoto akawa na meno huko tumboni?
Me wangu hakua hivyo😡😡😡Naandika nafuta naandika tena nafuta! Mama pretty njoo ujione huku mambo bulbul..😂
Sio wako.Mi wangu hawakuwa hivyo, NAKATAA!!
Sio wako huyo ni wewe!!.. umenuna..?😁Me wangu hakua hivyo😡😡😡
Kichwa kama fenesiSio wako huyo ni wewe!!.. umenuna..?😁
Endelea nikaposhuka nawewe lazima chozi likutoke..😂Kichwa kama fenesi
NIMEOKOKA NA NAMPENDA YESU 🙌Endelea nikaposhuka nawewe lazima chozi likutoke..😂
AmenNIMEOKOKA NA NAMPENDA YESU 🙌
Picture za MRI zinafanana na zombie
CT Scan ina madhara makubwa wala haiwezi kutumika kuscan mjamzito! MRI inaweza kutumika kwa sababu haina madhara.Hivi nini madhara ya ct scan na mri kwa mtoto aliye tumboni