Una maana gani kufakamia! Tumia akili kidogo.
Jamaa una wivu hadi na matikiti? Yaani ulitaka wayaache matiki ili wakufakamie wewe?
Habari ni nn pale? Kipi ambacho siyo cha kawaida paleSo what?
Ki hiviKiaje?
Wafuasi wa Kayafa mnateseka sana...
Ha ha aa mbona Wana njaa Sana hawa. Wakipewa Asali kimyaaa
Kinyume na ulivyoumbwaWanifakamieje? Fafanua