Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacha unaa aiseeNdio maana najitahidi sana nile bata ujanani nisije nikageuka kituko uzeeni
Sasa hizo bata si mpaka zije kwenye kumi na nane zako Sheikh...unaweza ukazisubiria ukajikuta umegonga ninety sio bata wala njiwa aliyejitokeza.Ndio maana najitahidi sana nile bata ujanani nisije nikageuka kituko uzeeni
Ndio maana natafuta hela mapema yasije yakanikuta ya mama diamondSasa hizo bata si mpaka zije kwenye kumi na nane zako Sheikh...unaweza ukazisubiria ukajikuta umegonga ninety sio bata wala njiwa aliyejitokeza.
Kila la kheri mkuu....ila bata zikija hata huko uzeeni na kukukuta 'meno' bado ipo we vunja mifupa usijali Waja watasema nini.Ndio maana natafuta hela mapema yasije yakanikuta ya mama diamond
Ushesema magharibi mkuu.....hapa bongo chaliiiAfrica mnashangaa, wakati nchi za magharibi ni kawaida tu tena wanaoga bwana moja mama, baba na watoto huku Africa nongwa
Ndo mana mm huwa naamini ile skendo ya ye na mwanae kila j5 [emoji87] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Mama amwachii mwanae ajambe,kila kona naye yupo
Sio kwetu, kwangu kuna swimming pool 2.Kwenu kuna swimming pool?
izo ni taratibu na staarabu za kizungu...ila hapa ushasema africa sisi hatuna hizi mambo lazma tushangae na tuone kituko ichi. wazungu waachie wazungu nyie ndo mnaovaa milegezo kwa kuiga igaAfrica mnashangaa, wakati nchi za magharibi ni kawaida tu tena wanaoga bwana moja mama, baba na watoto huku Africa nongwa
Kuogelea swimming pool ina limit ya umri??Ndio maana najitahidi sana nile bata ujanani nisije nikageuka kituko uzeeni