Hiki Chama kina watu wenye hekma sana tuBaada ya Sekretarieti ya CCM-Tanzania inayoongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Crde Daniel Chongolo kuwasili mkoa wa Geita limeibuka Shangwa na mabango kedekede yenye kumpongeza na kumtia moyo Rais Samia Suluhu Hassan,
Hii ni tafsiri chanya ya anayoyafanya Rais wetu katika kuliletea Taifa letu maendeleo endelevu,Furaha ni kubwa zaidi kuona vijijini wanachi walivyohamasika katika kuendelea kuiamini na hatimaye kuichagua CCM-Tanzania,Hakuna kama Samia
πππNgoja waje wale jamaa.
ππ
Thread za kujaza front page,wanapenda kujifaraguza na kudemka kwa vioja visivyolijenga Taifa au lichama lao hilo la mchwa,viroboto,kupe,kunguni na vitu kama hivyo:Ukiwaliza hao viumbe ni kina nani wanaanza kububujikwa na machozi ya fisi na uharo kupitia vinywa na kalamu zao.Hapa ndo naonaga wtz hatuna akilini.bango linamtaja samia.kwani samia yuko geita?makada sijui tukoje.kyaaaaaπͺπͺπͺπͺ
Daaah,Hivi ww unajua maana ya kunafikiana au hujui?
Hatari sana,Ngoja waje wale jamaa.
ππ
Pinga Pinga hapo pia watapingaBaada ya Sekretarieti ya CCM-Tanzania inayoongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Crde Daniel Chongolo kuwasili mkoa wa Geita limeibuka Shangwa na mabango kedekede yenye kumpongeza na kumtia moyo Rais Samia Suluhu Hassan,
Hii ni tafsiri chanya ya anayoyafanya Rais wetu katika kuliletea Taifa letu maendeleo endelevu,Furaha ni kubwa zaidi kuona vijijini wanachi walivyohamasika katika kuendelea kuiamini na hatimaye kuichagua CCM-Tanzania,Hakuna kama Samia
Mabango ya mchongoSiku hizi ni mabango ya kusifu tu hakuna kero eeh[emoji3]!?