Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hata picha zinadhihirisha mkuu.Sidhani..mana miaka ya 1950 mkoloni wao mbeligiji alipiga marufuku.
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata picha zinadhihirisha mkuu.Sidhani..mana miaka ya 1950 mkoloni wao mbeligiji alipiga marufuku.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hujaona hicho kitoto kilichobebwa pichani? Kichwa cha mtoto kilikuwa kinavalishwa kofia ngumu ya kamba iliyobana sana kwa vile fuvu bado laini linakubali kuwa 'moulded' katika umbo la kofia. Mkuu hujaona hicho kitoto kilichobebwa pichani kimebanwa hadi macho yamechomoza kama kibonzo.Walikuwa wanafanya aje hadi vichwa vinaumuka hivyo?
Maana hilo sio chogo bali ni semi trailer...