Mkuu hujaona hicho kitoto kilichobebwa pichani? Kichwa cha mtoto kilikuwa kinavalishwa kofia ngumu ya kamba iliyobana sana kwa vile fuvu bado laini linakubali kuwa 'moulded' katika umbo la kofia. Mkuu hujaona hicho kitoto kilichobebwa pichani kimebanwa hadi macho yamechomoza kama kibonzo.