Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mahindi nayo yameanikwa juu ya karo la choo, hapa afya anajali kweli?
View attachment 2067784
Kwa hiyo hapo kunashida gani mavi si yapo ndani, na hapo juu watu wanakanyaga na kukaa. Ayo ni mambo madogo, ukiona unashindwa kuweka vitu juu ya matank ya choo ujue wewe ni mchafu kupitiliza, choo mbali na kutita tu , choo inatakiwa kiwe kisafi kwamba uweze kulia chooni chakula
Wa chato huyu bila shakaMahindi nayo yameanikwa juu ya karo la choo, hapa afya anajali kweli?
View attachment 2067784
Hii nayo ni topic ya kuongelea? Tafuta something positiveMahindi nayo yameanikwa juu ya karo la choo, hapa afya anajali kweli?
View attachment 2067784
Nape akizeeka atafanana na Mark ni kama sura zao zinarandana
Ndugai kaenda kuomba msamaha