warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Anaitwa Imelda Mtema ni mwandishi wa habari wa global publisher. Huyu anajifanyaga ana urafiki na mastaa wa bongo movie lakini kumbe akigeuka nyuma anaenda kuwaandika vibaya kwenye magazeti ya boss wake shigongo.
Duh wema ana bahati mbaya kila mtu anamgeuka, huyu Imelda alikuwa rafiki mkubwa wa Wema Sepetu hadi kule arusha kwenye show ya mirror walienda nae na wakalala chumba kimoja , walivyorudi bongo kaenda kuwaandika kwenye magazeti ya Shigongo kuwa walienda Arusha kujiuza.
Juzi tena alimripoti Wema Sepetu kuwa anafanya mchezo mchafu na Aunty Ezekiel, kama haitoshi tena wiki iliyopita kamwandika baby wake Sepetu ndomo kuwa anataka kuwa shoga kitendo kilichomtibua mlimbwende huyo na kwenda kufanya timbwil global publisher.
Wema alimfuata hadi ofisini huyu bidada na kutaka kumuangushia kipigo heavy.
Duh wema ana bahati mbaya kila mtu anamgeuka, huyu Imelda alikuwa rafiki mkubwa wa Wema Sepetu hadi kule arusha kwenye show ya mirror walienda nae na wakalala chumba kimoja , walivyorudi bongo kaenda kuwaandika kwenye magazeti ya Shigongo kuwa walienda Arusha kujiuza.
Juzi tena alimripoti Wema Sepetu kuwa anafanya mchezo mchafu na Aunty Ezekiel, kama haitoshi tena wiki iliyopita kamwandika baby wake Sepetu ndomo kuwa anataka kuwa shoga kitendo kilichomtibua mlimbwende huyo na kwenda kufanya timbwil global publisher.
Wema alimfuata hadi ofisini huyu bidada na kutaka kumuangushia kipigo heavy.