Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
😳Mungu hili Zimwi(CCM) utatunyofolea lini?
Unashangaa nini?
Zamani ata magoti walikuwa hawapigi lani kwa sasa wanapiga. Je baada ya staili ya magoti nini watafanya?Hawa jamaa wana dharau sana na kibri kiwango cha lami.
Wakati wa kampeni utawaona wanapy magoti kuomba kura na kuosha masufuri.