Picha: Miaka 60 ya uhuru viongozi wa CCM wakikagua shule iliyojengwa kwa nyasi mkoani Morogoro

Picha: Miaka 60 ya uhuru viongozi wa CCM wakikagua shule iliyojengwa kwa nyasi mkoani Morogoro

Sehemu ambayo CCM wanaibia hela
Ni kwenye ziara na uzinduzi Nina uhakika ikisitishwa ziara moja ya kiongozi mmoja. na hiyo hela ya hela ikapelekwa kujenga hiyo Shule ingetosha kabisa kuijenga hiyo Shule kwa viwango.
Sahihi kabisa.
Hebu fikiria gharama iliyotumika kuwafikisha hapo hao watendaji wa chama ingeenda direct hapo nini kingetokea?...
Ndio maana huwa nasema kuna mambo mengi sana ya kipumbavu yanafanywa as if taifa la Tanzania limejaa mazezeta.
 
Ni hatari sana mtaji pekee wa kisiasa ukibaki kuwa Umaskini na Ujinga!
 
Mzilankende Angewatimua Hao Viongozi
Maana Wamekwenda Kufanya Jokes
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Bi. Dorothy Mwamsiku akiwa ameambatana na Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Morogoro Ndugu Anthony Mhando, ametembelea Shule Shikizi Lukande, Wilaya ya Ulanga. https://t.co/S87ZMyXNjUView attachment 2031268View attachment 2031266

71A14A93-D7FC-4B90-B9B8-EFECB57087A1.jpeg
 
Sahihi kabisa.
Hebu fikiria gharama iliyotumika kuwafikisha hapo hao watendaji wa chama ingeenda direct hapo nini kingetokea?...
Ndio maana huwa nasema kuna mambo mengi sana ya kipumbavu yanafanywa as if taifa la Tanzania limejaa mazezeta.
Madarasa mawili yangepatikana.
 
Aibu ya kufungia miaka 60 ya uhuru kwa CCM.

#Mbowe si gaidi#
 
Shule Shikizi:
Ni shule zinazojengwa temporary hususan kwa jamii zenye mfumo wa kuhamahama kama vile wafugaji;Mengine kama sio kujenga chuki tuwaachie wanasiasa
 
Shule Shikizi:
Ni shule zinazojengwa temporary hususan kwa jamii zenye mfumo wa kuhamahama kama vile wafugaji;Mengine kama sio kujenga chuki tuwaachie wanasiasa
Morogoro Wamepata Mkopo Wa IMF Kuboresha Shule Shikizi
 
Morogoro Wamepata Mkopo Wa IMF Kuboresha Shule Shikizi
Mkopo mpaka ujenzi ni mchakato,nafkiri wazo mbadala pesa kama inatosha zibadilishwe mfumo kutoka ujenzi kwenda mfumo wa macontainer,zitakuwa na muonekano mzuri na urahisi wa kuhamishika pale itakapolazimu
 
Mkopo mpaka ujenzi ni mchakato,nafkiri wazo mbadala pesa kama inatosha zibadilishwe mfumo kutoka ujenzi kwenda mfumo wa macontainer,zitakuwa na muonekano mzuri na urahisi wa kuhamishika pale itakapolazimu
Mkuu
Tamisemi Imesema Madarasa Na Vile Vituo Vitakavyojengwa Kwa Pesa Ya Mkopo Vitakamilika Mwisho Wa December
 
Back
Top Bottom