Haha, sitaki kucheka kiongozi, its sad. Magu aliwaumiza wengi, kuna mmoja anaishi Kibamba kwa sasa, ukimtajia jina la Magu atatakukana hadi ushangae.Kuna jamaa yangu alijenga nyumba tatu tena kwa mpigo. Sema zote alizijenga KIMARA. Sasa hivi amepanga KIGOGO
Kujionyesha au kufuja pesa.Anajenga nyumba tatu zote za nini?
Kwa Dar hakuna porini, with time utashangaa yale maeneo yaliyodharaulika yanakuwa very potential. Barabara ya Tangibovu kwenda Mbezi kupitia Goba ilikuwa porini miaka hiyo, hakuna aliyefikiria kungekuwa na thamani kubwa, leo hii nenda kanunie kiwanja uone muziki wake, then jenga nyumba uone utapangisha kwa shilingi ngapi. Just imagine una two-bedroom apartments za kutosha kwa familia changa, one bedroom apartment kwa singles. Then njoo tujadiliane hapa.Nimekupata location muhimu ila kama hii ya Zamaradi ipo porini ikikamilika walinzi watatakiwa nao unawalipa. Siamini hapa JF kuna wengi ambao wanaweza kujenga (si kununua) nyumba masaki au Oysterbay ama upanga! Wengi wetu tunajenga makabe, mbagala, Mapinga, mivumoni, nk huko nyumba ya 3 bedroom ni laki 3 tu kwa bahati ya mtende kama Demiss kumpata Diamond
Acha tu mzee.....MAGU kaumiza watu sana pale kisa hawakumchagua.Haha, sitaki kucheka kiongozi, its sad. Magu aliwaumiza wengi, kuna mmoja anaishi Kibamba kwa sasa, ukimtajia jina la Magu atatakukana hadi ushangae.
Mkuu nyumba yangu ya kwanza nilimaliza 1990 Dar. Nakuomba ujue kuwa theory na practice ni mbingu na juaKwa Dar hakuna porini, with time utashangaa yale maeneo yaliyodharaulika yanakuwa very potential. Barabara ya Tangibovu kwenda Mbezi kupitia Goba ilikuwa porini miaka hiyo, hakuna aliyefikiria kungekuwa na thamani kubwa, leo hii nenda kanunie kiwanja uone muziki wake, then jenga nyumba uone utapangisha kwa shilingi ngapi. Just imagine una two-bedroom apartments za kutosha kwa familia changa, one bedroom apartment kwa singles. Then njoo tujadiliane hapa.
Kama tumeweza kuona hapa tayari ni Show off! Umasikini kitu kibaya sanaa..Mtangazaji na mjasiriamali maarufu mjini, ambaye pia ni mzazi mwenzie na marehemu ruge, amepost kwneye ukurasa wake wa instagram, project yake mpya ambayo ni ujenzi wa Nyumba yake ya tatu mpaka sasa. Hongera sana Zamaradi
Mmh ila cheusi dawa huyu ana mkwanja sema tu hanaga show off kama akina mwafulan, na Ana akili sana aiseh , Shaban alipata mke kwa kweli , mwanamke mpambanaji hatarView attachment 1163511View attachment 1163512
Wewe kijana mbona king'ang'anizi? Nyumba ni Liability na sio Asset, sawa sawa?Mkuu,
Huenda tukawa na experience tofauti katika hili, nyumba ni asset ambayo return yake inachukua mda sana. Lakini hilo haliondoi ukweli kwamba unaweza ku-benefit na familia yako in the future.
Katika ujengaji wa nyumba, kuna factors nyingi ikiwemo ya location, kuna nyumba hazilipi just coz of location, zipo nyumba hazilipi coz management mbovu. Ukarabati wa nyumba ni lazima, lakini sidhani after 5yrs utatumia the same amount anayolipa mteja kukarabati nyumba.
Nikupe mfano, my friend alipanga nyumba(ipo kwenye potential location pale Kimara), it's a 3BR house, 6,000,000/- kwa mwaka. Baada ya miaka mitano ni roughly 30,000,000/- niambie ni ukarabati gani huo uta-cost 30,000,000 mkuu?
Niambie tu labda kwa conditions za uwekezaji bongo, japo sio katika real estate tu, hata areas nyingine huwezi kupata free ride.
Asante mkuu!!Wewe kijana mbona king'ang'anizi? Nyumba ni Liability na sio Asset, sawa sawa?
@KhantweAnajenga nyumba tatu zote za nini?
1990 [emoji44]yaani ata sijazaliwa ila niaje mkuuu[emoji1787]Mkuu nyumba yangu ya kwanza nilimaliza 1990 Dar. Nakuomba ujue kuwa theory na practice ni mbingu na jua
NENO.
Hahaaa!+Weka yako ya mjini
Ni ardhi na siyo nyumba ambayo ni asset. Wengi wanaoongea kuwa nyumba ni asset, hawana au wanafananisha location kati ya kariakoo na buza.Kwa Dar hakuna porini, with time utashangaa yale maeneo yaliyodharaulika yanakuwa very potential. Barabara ya Tangibovu kwenda Mbezi kupitia Goba ilikuwa porini miaka hiyo, hakuna aliyefikiria kungekuwa na thamani kubwa, leo hii nenda kanunie kiwanja uone muziki wake, then jenga nyumba uone utapangisha kwa shilingi ngapi. Just imagine una two-bedroom apartments za kutosha kwa familia changa, one bedroom apartment kwa singles. Then njoo tujadiliane hapa.