Picha: Mjengo Mpya wa Zamaradi Mketema

Picha: Mjengo Mpya wa Zamaradi Mketema

Nimekupata location muhimu ila kama hii ya Zamaradi ipo porini ikikamilika walinzi watatakiwa nao unawalipa. Siamini hapa JF kuna wengi ambao wanaweza kujenga (si kununua) nyumba masaki au Oysterbay ama upanga! Wengi wetu tunajenga makabe, mbagala, Mapinga, mivumoni, nk huko nyumba ya 3 bedroom ni laki 3 tu kwa bahati ya mtende kama Demiss kumpata Diamond
Kwa Dar hakuna porini, with time utashangaa yale maeneo yaliyodharaulika yanakuwa very potential. Barabara ya Tangibovu kwenda Mbezi kupitia Goba ilikuwa porini miaka hiyo, hakuna aliyefikiria kungekuwa na thamani kubwa, leo hii nenda kanunie kiwanja uone muziki wake, then jenga nyumba uone utapangisha kwa shilingi ngapi. Just imagine una two-bedroom apartments za kutosha kwa familia changa, one bedroom apartment kwa singles. Then njoo tujadiliane hapa.
 
Kina uwoya wa bize kuonesha tatoo,akishazeeka tutasikia anaomba michango akatibiwe India
 
Haha, sitaki kucheka kiongozi, its sad. Magu aliwaumiza wengi, kuna mmoja anaishi Kibamba kwa sasa, ukimtajia jina la Magu atatakukana hadi ushangae.
Acha tu mzee.....MAGU kaumiza watu sana pale kisa hawakumchagua.
 
Kwa Dar hakuna porini, with time utashangaa yale maeneo yaliyodharaulika yanakuwa very potential. Barabara ya Tangibovu kwenda Mbezi kupitia Goba ilikuwa porini miaka hiyo, hakuna aliyefikiria kungekuwa na thamani kubwa, leo hii nenda kanunie kiwanja uone muziki wake, then jenga nyumba uone utapangisha kwa shilingi ngapi. Just imagine una two-bedroom apartments za kutosha kwa familia changa, one bedroom apartment kwa singles. Then njoo tujadiliane hapa.
Mkuu nyumba yangu ya kwanza nilimaliza 1990 Dar. Nakuomba ujue kuwa theory na practice ni mbingu na jua
 
Mtangazaji na mjasiriamali maarufu mjini, ambaye pia ni mzazi mwenzie na marehemu ruge, amepost kwneye ukurasa wake wa instagram, project yake mpya ambayo ni ujenzi wa Nyumba yake ya tatu mpaka sasa. Hongera sana Zamaradi

Mmh ila cheusi dawa huyu ana mkwanja sema tu hanaga show off kama akina mwafulan, na Ana akili sana aiseh , Shaban alipata mke kwa kweli , mwanamke mpambanaji hatarView attachment 1163511View attachment 1163512
Kama tumeweza kuona hapa tayari ni Show off! Umasikini kitu kibaya sanaa..
 
Mkuu,
Huenda tukawa na experience tofauti katika hili, nyumba ni asset ambayo return yake inachukua mda sana. Lakini hilo haliondoi ukweli kwamba unaweza ku-benefit na familia yako in the future.

Katika ujengaji wa nyumba, kuna factors nyingi ikiwemo ya location, kuna nyumba hazilipi just coz of location, zipo nyumba hazilipi coz management mbovu. Ukarabati wa nyumba ni lazima, lakini sidhani after 5yrs utatumia the same amount anayolipa mteja kukarabati nyumba.

Nikupe mfano, my friend alipanga nyumba(ipo kwenye potential location pale Kimara), it's a 3BR house, 6,000,000/- kwa mwaka. Baada ya miaka mitano ni roughly 30,000,000/- niambie ni ukarabati gani huo uta-cost 30,000,000 mkuu?

Niambie tu labda kwa conditions za uwekezaji bongo, japo sio katika real estate tu, hata areas nyingine huwezi kupata free ride.
Wewe kijana mbona king'ang'anizi? Nyumba ni Liability na sio Asset, sawa sawa?
 
Nyumba nyingine ukijenga usitumie kokoto "UBUYU" nunua MSOLWA bei zake hazitofautiani sana.
IMG_1898.JPG
 
Kwa Dar hakuna porini, with time utashangaa yale maeneo yaliyodharaulika yanakuwa very potential. Barabara ya Tangibovu kwenda Mbezi kupitia Goba ilikuwa porini miaka hiyo, hakuna aliyefikiria kungekuwa na thamani kubwa, leo hii nenda kanunie kiwanja uone muziki wake, then jenga nyumba uone utapangisha kwa shilingi ngapi. Just imagine una two-bedroom apartments za kutosha kwa familia changa, one bedroom apartment kwa singles. Then njoo tujadiliane hapa.
Ni ardhi na siyo nyumba ambayo ni asset. Wengi wanaoongea kuwa nyumba ni asset, hawana au wanafananisha location kati ya kariakoo na buza.
Factor hapo ni ardhi/kiwanja. Kwa sie tuliorithi nyumba kadhaa, nakuhakikishia kuwa tumepata somo kubwa.
Hatuwezi kuishi kwenye hizo nyumba kwani maisha yangu si kama ya wazazi wangu.

Nyumba ya milioni 200 mnapangisha laki 2 kwa mwezi mpaka laki tatu.
Kurudisha hela ni miaka 80 mpaka 100. Hapo mshakufa.
Ila kama ukiweka milioni 200 kwenye hatifungani unapata zaidi ya mil. 25 kwa mwaka.
Na baba katuambia nyumba zake tusiuze na mashangazi wanatusisitizia hilo.
Bado huwa natamani ningerithishwa heka 10 madale au boko enzi hizo ilikuwa porini kuliko nyumba za temeke.
Trust me on this.
 
Back
Top Bottom