Picha: Mkuu wa nchi mwenye upendo na watoto

Ila kweli mh. samia anapenda sana Watoto. Nikiangalia akiwa analimia wananchi akakuta kuna mtoto hajawahi kumpita.. yaani lazima amsogelee amguse. Nimeangalia hata leo akisalimia abiria wa kwenye boti, Hajapita mtoto hata mmoja
 
Tushazoea hizi thread zinaripotiwa na mwashambwa, sikuhizi matukio sijui yanampitaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…