Hao walinzi wao hata hawaaminiki,yule wa dully sykes wanayemuita Arafat Ngumi jiwe,watoto wadogo wa kitaa wamemfanyia yao mixer kumrekodi mpaka wakamtupia youtube.
Miili mikubwa ila wacameron.
"Nlikiwepo":bolt:
Huyo mlinzi mbona kama hamnazo
Huyo mlinzi mbona kama hamnazo
Alafu nimeanza kuhisi diamond kweli ni freemason kama watu wasemavyo,nilikuwa namchukua lkn siku hizi ghafla nimekuwa shabiki wake
Huyo mlinzi mbona kama hamnazo
Huyo mlinzi mbona kama hamnazo
Alafu nimeanza kuhisi diamond kweli ni freemason kama watu wasemavyo,nilikuwa namchukua lkn siku hizi ghafla nimekuwa shabiki wake
hata obama mwenyewe analindwa hv sometym,sembuse diamondwatu wanalindana bado kwa kutumia analojia ,
hata obama mwenyewe analindwa hv sometym,sembuse diamond
chief kiumbe ana wivu!!!!!
Sura yake inaonyesha kama vile ni mtambo hivi.