Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,986
- 5,058
mmh! kumbe na nyie mnashindaga na watoto fesibuku? yaani mi nilishagatiwa uvivu wa kuingia huko nikakosa hamu kabisa. naingiaga huko ili nikacheki kwenye profesheno group yangu kuna tangazo ganiHa ha ha acha hizo wewe unaniheshimu nimekuzaa???
snowhite kauliza nimempa jibu sa hapo kilichovunja heshima ni kipi?
afu uache matusi unatukana sana kule fesibuku kisa kumtetea kikwete...