Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Kesho asubuhi tulete habari mambo yalivyokuwa kitandani pale Mzee Hafidh akitii matakwa ya ndoa 💦 utusimulie amepiga vingapi kwenye morning glory
 
Ndugu zangu Watanzania,

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Philipo Mpango ameweza kufika na kutoa pole na mkono wa faraja kwa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa pamoja na Mkewe Mheshimiwa Wanu Hafidhi .

Hii ni kufuatia kifo cha Mzee Omary Mchengerwa ambaye ni Baba mzazi wa Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa. Ambaye alifariki akiwa Ibadani Makka ambako alizikwa huko huko Makka.

Mheshimiwa Makamu wetu wa Rais ametoa pole sana kwa ndugu, jamaa na marafiki kufuatia kifo cha mzee Omary Mchengerwa ambaye ametangulia mbele za Haki.

Nami pia Lucas Mwashambwa naendelea Kutoa pole sana kwa Mheshimiwa Waziri na Familia yake pamoja na ndugu jamaa na marafiki na wote tulioguswa na Msiba huo. Mungu awape Moyo wa subira wakati huu mgumu ambao wanapitia.View attachment 3250589View attachment 3250590
Huyu juzi juzi kununua mijengo ya wachina, apartment, kwa mabilioni tasilimu. Wizi wa awamu hii huenda umevunja rekodi
 
Sasa wewe unakuta kichwa maji halafu unataka ukaoe ushuani huko😀😀 . Ndege wafananao huruka pamoja . Ndio maana mimi nina ruka angani na ephen mpaka ndege wenyewe wanaona wivu.
Unaweza kuthibitisha Hapa kwamba Mchengerwa siyo KICHWA MAJI? na kwamba alioa huyo mke kwa sababu siyo kichwa maji?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Philipo Mpango ameweza kufika na kutoa pole na mkono wa faraja kwa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa pamoja na Mkewe Mheshimiwa Wanu Hafidhi .

Hii ni kufuatia kifo cha Mzee Omary Mchengerwa ambaye ni Baba mzazi wa Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa. Ambaye alifariki akiwa Ibadani Makka ambako alizikwa huko huko Makka.

Mheshimiwa Makamu wetu wa Rais ametoa pole sana kwa ndugu, jamaa na marafiki kufuatia kifo cha mzee Omary Mchengerwa ambaye ametangulia mbele za Haki.

Nami pia Lucas Mwashambwa naendelea Kutoa pole sana kwa Mheshimiwa Waziri na Familia yake pamoja na ndugu jamaa na marafiki na wote tulioguswa na Msiba huo. Mungu awape Moyo wa subira wakati huu mgumu ambao wanapitia.View attachment 3250589View attachment 3250590
Afya tele,
 
Wewe mpuuzi tu. Hata ukiambiwa mkapa

Alishirikiaa na JPM kama wazir wake wa ujenzi kuuziana nyumba za umma zipatazo 845 kwa viongozi wa ccm utadai ushahidi tu kwakuwa ni mjinga
Acha makelele yako hapa wewe. Weka ushahidi na siyo kupiga porojo zako
 
Acha makelele yako hapa wewe. Weka ushahidi na siyo kupiga porojo zako
Kwamba kiongozi na rais mstaafu wa TANZANIA na kiongozi wa CCM, bwana Benjamin William Mkapa kushirikiana na waziri wake wa nyumba bwana JOHN POMBE MAGUFULI waliziuza Nyumba za umma 845 kwa viongozi wenzao wa ccm na serikali yake miaka ya 2000s ni KELELE?
Ukapimwe akili wewe
 
Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Kuna wakati upumbavu haifai kuunyamazia..., kwa hiyo niongezee sifa katika hiyo orodha yako..., kwamba, huyo mtoto akitoa ushuzi kwako utauita marashi!
Kawaida huwa mada zako sisomi, ila nimevutwa na "picha" kama ulivyo tangaza awali ya yote.
 
Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Acha upambe wa kimareshi kutwa kusifia ujinga tu
 
Kuna wakati upumbavu haifai kuunyamazia..., kwa hiyo niongezee sifa katika hiyo orodha yako..., kwamba, huyo mtoto akitoa ushuzi kwako utauita marashi!
Kawaida huwa mada zako sisomi, ila nimevutwa na "picha" kama ulivyo tangaza awali ya yote.
Acha ujinga wako hapa.
 
Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
ungekua manzi ungekua na watoto 425
 
Back
Top Bottom