Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

kimbelembele tu misiba ya kwenu chimba unye huko hata kufika ni shida kazi kuabudu watu utakuwa unatatizo la yas kuwasha
Mchengerwa amempa utendaji wa mtaa, kumbuka Lucas hana cheti cha F4 alipata zero, Mchengerwa kamsaidia amekuwa VEO. Hata kama ni mimi lazima ningeenda, akufaae wakati wa dhiki ndiyo ndugu ako.
 
Huyo ndio mtoto WA mama Samiyya??
Ulitakiwa ujibu tu NDIYO! Ila ukaona uongeze na porojo nyingine ambazo hazina uhusiano na swali. Kweli wewe ni zaidi ya CHAWA. 🚮
 
Yaan nmeona aibu mm msomaji ,,duu hongera Kwa kujikomba kwenye hii familia!!!
 
Huyo mchee the minister kaoa status kusema huyo bi dada mtoto wa presdaa mkyuti big no hakuna kitu ila kwakuwa inakufanya ule mema ya nchi unalipiga hivo hivo hilo tipwa tipwa.
 
Kumbee naomba zake nimsalimie
 
Wewe uliyetulia umepewa cheo gani? Kwanini unamuonea wivu Lucas🤔
Mimi sihitaji cheo kama ningetaka ningekipata tena siku nyingi tu lakini siyo mtazamo wangu kimaisha napenda kuishi maisha very private. Mimi simuonei wivu bali namshauri njia anayotumia ni ndefu sana na haitamfikisha atakapo, uchawa wake umepitiliza kiasi hata hizo mamlaka za uteuzi zinakuwa na shaka na upeo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…