Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #161
Huyo chizi tu .anapita humu jukwaani akijitekenya na kujichekesha mwenyewe kwa kudanganya watu eti ana kampuni yake binafsi. Yaani huyo ni tapeli tapeli tu.Huna hoja.
NabishaNi mwanachama wa UWT unabisha ?
Mbona yanakutoka maneno machafu kama umekunywa maji ya chooni?Punguza povu hilo wewe kapuku.Naona una hasira sana baada ya kuona hakuna mwenye muda na wewe . Kila unayemrukia na kumparamia anakuona wewe Chizi tu. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kukufuatilia na kuwa karibu na mtu aina yako unayefanya kazi ya kutukana na kuporomosha matusi utafikiri kichaa au mwendawazimu. Una mdomo mchafu na unao nuka matusi utafikiri Chemba ya choo iliyoziba..
Hivi kumiliki kampuni kwako wewe unaona ni jambo lisilowezekana? Hiyo ndiyo athari za kuwa na mawazo mgando ya kuishi kwa kutegemea kuajiriwa, pole sana, naona huishi kulizungumzia naona unaumia sana , njoo DM nikupe location uje ofisini kwangu nafikiri unaweza kuhamasika ukaachana na huu upuuzi unaofanya hapa jukwaani.Huyo chizi tu .anapita humu jukwaani akijitekenya na kujichekesha mwenyewe kwa kudanganya watu eti ana kampuni yake binafsi. Yaani huyo ni tapeli tapeli tu.
Lucas mwenyewe ana kampuni yake ya kugeuza mahindi kua unga wa sembe.Hivi kumiliki kampuni kwako wewe unaona ni jambo lisilowezekana? Hiyo ndiyo athari za kuwa na mawazo mgando ya kuishi kwa kutegemea kuajiriwa, pole sana, naona huishi kulizungumzia naona unaumia sana , njoo DM nikupe location uje ofisini kwangu nafikiri unaweza kuhamasika ukaachana na huu upuuzi unaofanya hapa jukwaani.
Hivi unafikiri kampuni inaweza kuongozwa na kusimamiwa na hata machizi?Hivi kumiliki kampuni kwako wewe unaona ni jambo lisilowezekana? Hiyo ndiyo athari za kuwa na mawazo mgando ya kuishi kwa kutegemea kuajiriwa, pole sana, naona huishi kulizungumzia naona unaumia sana , njoo DM nikupe location uje ofisini kwangu nafikiri unaweza kuhamasika ukaachana na huu upuuzi unaofanya hapa jukwaani.
Hapo ndiyo unapofeli dogo utaishia kuwa chawa hadi unaingiankaburiniHivi unafikiri kampuni inaweza kuongozwa na kusimamiwa na hata machizi?
Sasa mbona anakuwa bwege na kuona kuwa na kampuni ni big deal? Hivi zinamtosha kweli huyu shemela?Lucas mwenyewe ana kampuni yake ya kugeuza mahindi kua unga wa sembe.
Anakushangaa sababu pesa huwa haipigi kelele ila wewe kelele kama zote.Sasa mbona anakuwa bwege na kuona kuwa na kampuni ni big deal? Hivi zinamtosha kweli huyu shemela?
Sijapiga kelele nimemwambia anitembelee aone ninachofanya sijazungumzia habari ya pesa, nizungumzie pesa mimi Bhakresa atazungumizia nini?Anakushangaa sababu pesa huwa haipigi kelele ila wewe kelele kama zote.
Leo nipo karibu na Lucas, siunajua tarehe ya mshahara leo.Sijapiga kelele nimemwambia anitembelee aone ninachofanya sijazungumzia habari ya pesa, nizungumzie pesa mimi Bhakresa atazungumizia nini?
Anapiga kelele utafikiri KengeleAnakushangaa sababu pesa huwa haipigi kelele ila wewe kelele kama zote.
Sasa ni wapi ulishaona Bhakresa akipiga kelele kama debe tupu😀😀Sijapiga kelele nimemwambia anitembelee aone ninachofanya sijazungumzia habari ya pesa, nizungumzie pesa mimi Bhakresa atazungumizia nini?
Alivyo stingy huyo MndaliLeo nipo karibu na Lucas, siunajua tarehe ya mshahara leo.
Naona Kiswahili kigumu kwako, mwambie ephen akutafsirie nilimaanisha nini.Sasa ni wapi ulishaona Bhakresa akipiga kelele kama debe tupu😀😀
bei yake million 50Makochi ya kifalme opsss kiarabu kisultani. Muda wao kufaidi
Karibu uone usiandikie mateAnapiga kelele utafikiri Kengele
Mimi nafahamu vyema sana KISWAHILI.Naona Kiswahili kigumu kwako, mwambie ephen akutafsirie nilimaanisha nini.
Hufahamu ndiyo maana umepata maana tofauti.Mimi nafahamu vyema sana KISWAHILI.