Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Picha: Mohammedi Mchengerwa na Mkewe wakipokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu wa Rais aliyefika msibani

Naona una hasira sana baada ya kuona hakuna mwenye muda na wewe . Kila unayemrukia na kumparamia anakuona wewe Chizi tu. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kukufuatilia na kuwa karibu na mtu aina yako unayefanya kazi ya kutukana na kuporomosha matusi utafikiri kichaa au mwendawazimu. Una mdomo mchafu na unao nuka matusi utafikiri Chemba ya choo iliyoziba..
Mbona yanakutoka maneno machafu kama umekunywa maji ya chooni?Punguza povu hilo wewe kapuku.
 
Huyo chizi tu .anapita humu jukwaani akijitekenya na kujichekesha mwenyewe kwa kudanganya watu eti ana kampuni yake binafsi. Yaani huyo ni tapeli tapeli tu.
Hivi kumiliki kampuni kwako wewe unaona ni jambo lisilowezekana? Hiyo ndiyo athari za kuwa na mawazo mgando ya kuishi kwa kutegemea kuajiriwa, pole sana, naona huishi kulizungumzia naona unaumia sana , njoo DM nikupe location uje ofisini kwangu nafikiri unaweza kuhamasika ukaachana na huu upuuzi unaofanya hapa jukwaani.
 
Hivi kumiliki kampuni kwako wewe unaona ni jambo lisilowezekana? Hiyo ndiyo athari za kuwa na mawazo mgando ya kuishi kwa kutegemea kuajiriwa, pole sana, naona huishi kulizungumzia naona unaumia sana , njoo DM nikupe location uje ofisini kwangu nafikiri unaweza kuhamasika ukaachana na huu upuuzi unaofanya hapa jukwaani.
Lucas mwenyewe ana kampuni yake ya kugeuza mahindi kua unga wa sembe.
 
Hivi kumiliki kampuni kwako wewe unaona ni jambo lisilowezekana? Hiyo ndiyo athari za kuwa na mawazo mgando ya kuishi kwa kutegemea kuajiriwa, pole sana, naona huishi kulizungumzia naona unaumia sana , njoo DM nikupe location uje ofisini kwangu nafikiri unaweza kuhamasika ukaachana na huu upuuzi unaofanya hapa jukwaani.
Hivi unafikiri kampuni inaweza kuongozwa na kusimamiwa na hata machizi?
 
Anakushangaa sababu pesa huwa haipigi kelele ila wewe kelele kama zote.
Sijapiga kelele nimemwambia anitembelee aone ninachofanya sijazungumzia habari ya pesa, nizungumzie pesa mimi Bhakresa atazungumizia nini?
 
Hao jamaa wanakula mema ya nchi bure kabisa...ndo muda wao wa kutamba sasa na kufaidi.
 
Back
Top Bottom