Picha mpya ya Lucy Komba

Picha mpya ya Lucy Komba

Mmh jaman huyu cheusi dawa jamani ndo kutuvalia nini hivi kama anaishi Tandale kwa tumbo wakati yupo Denmark , mxieew , Yan shoga angu mshamba huyu mpaka anaudhi Sijui lipoje mxieew, minguo gan hiyo kama unaenda kwenye msiba mxiee View attachment 1162860
Ni muono wako tu
Picha inaonesha yupo nyumbani katoka ki afrika zaidi labda ulitaka aoneshe mapaja mpwa
 
Huyu ndy mwanamke mweny akili kuliko wew Unae jiona bora Unajua kw Nn? Ni wanawake wachache sana wanao kumbuka mara ya kwanza mwanaume alimpenda Nn na akiwa na mwonekano gan kw wakat huo na akaudumixha muonekano huo bila kujibadilisha
 
Mmh jaman huyu cheusi dawa jamani ndo kutuvalia nini hivi kama anaishi Tandale kwa tumbo wakati yupo Denmark , mxieew , Yan shoga angu mshamba huyu mpaka anaudhi Sijui lipoje mxieew, minguo gan hiyo kama unaenda kwenye msiba mxiee View attachment 1162860
Uzuri sahivi tumejua jinsia yako
 
Hyo Avatar huo mdomo una jipu au puji?
1568886470715.png
1568886470715.png
1568886470715.png
1568886470715.png
1568886470715.png
1568886470715.png
1568886470715.png
 
Mmh jaman huyu cheusi dawa jamani ndo kutuvalia nini hivi kama anaishi Tandale kwa tumbo wakati yupo Denmark , mxieew , Yan shoga angu mshamba huyu mpaka anaudhi Sijui lipoje mxieew, minguo gan hiyo kama unaenda kwenye msiba mxiee View attachment 1162860
Waafrica twajua kufuatilia maisha ya watu balaa.
Kuna ka wimbo flani ka zamani huwa wanaimba, "wewe ukisema mke gani bwana wenzio wanamuona anapeendeza. Mzungu anapenda kitu natural hamuonagi huko kitaa. Wewe kazana na ma make up yako utishia kutupata mabaharia wa bongo hii hii
 
wabongo wengi wanaoishi Europe hawajui kuvaa,wapo wapo tu halafu sijui wanatumiaga simu gani
 
Mbona muonekano wake ni kama ananyonyesha
Mmh jaman huyu cheusi dawa jamani ndo kutuvalia nini hivi kama anaishi Tandale kwa tumbo wakati yupo Denmark , mxieew , Yan shoga angu mshamba huyu mpaka anaudhi Sijui lipoje mxieew, minguo gan hiyo kama unaenda kwenye msiba mxiee View attachment 1162860
 
Tatizo liko wapi?kwani ulitaka afake maisha?ulitaka avae kiwest?yaani wabongo ni wanafiki kweli
 
Back
Top Bottom