Picha mpya ya Yesu yamuonesha akiwa kwenye maporomoko ya majengo yaliyosababishwa na mayahudi

Picha mpya ya Yesu yamuonesha akiwa kwenye maporomoko ya majengo yaliyosababishwa na mayahudi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Picha hiyo ilizinduliwa rasmi kwenye misa ya Jumapili iliyopita mjjini Jerusalem alipozaliwa nabii Issa a.s (Yesu) ambapo padri Munther Isaac alisema huo ni ubunifu wa wanafamilia wa kikristo kuungana na wenzao wapalestina kuomboleza madhila wanayopata kutoka kwa mayahudi.
Akimalizia misa yake hiyo padre Munther alisema anaamini ujumbe utakuwa umewafikia wakristo wote duniani na watu wote na mwisho akatoa taarifa rasmi kuwa hakutakuwa na maadhimisho ya krismasi mwaka huu kutokana na vita vya Israel na Hamas.
Baraza la mji wa Jerusalem nalo kwa upande wake limeshabomoa mapambo yote ya kuelezea furaha kwa ajili ya krismasi kutokana na uadui na majonzi yanayoletwa na mayahudi kwa waislamu na wakristo.
Kwa muda mrefu eneo alipozaliwa Yesu limekauka wakristo baada ya wengi kuhama kukimbia mateso ya askari wa Israel.Ukristo upande wa madhehebu ya kikatoliki kwa sasa makao yake makuu yako Vatican nchini Italia.
Wakristo walioko nje ya Jerusalem na Gaza kwa kiwango kikubwa na wao wamekuwa wakiogopa kuitembelea Jerusalem na hivyo kuyafanya makanisa yaliyo mjini humo kuwa kama magofu yenye kuhofisha kwa kukosekana watu ndani yake.

Bethlehem church brings people to tears after redesigning Christmas nativity scene to reflect Israel-Hamas war

1702097824270.png
 

Attachments

  • 1702097781039.png
    1702097781039.png
    424.7 KB · Views: 4
Picha hiyo ilizinduliwa rasmi kwenye misa ya Jumapili iliyopita mjjini Jerusalem alipozaliwa nabii Issa a.s (Yesu) ambapo padri Munther Isaac alisema huo ni ubunifu wa wanafamilia wa kikristo kuungana na wenzao wapalestina kuomboleza madhila wanayopata kutoka kwa mayahudi.
Akimalizia misa yake hiyo padre Munther alisema anaamini ujumbe utakuwa umewafikia wakristo wote duniani na watu wote na mwisho akatoa taarifa rasmi kuwa hakutakuwa na maadhimisho ya krismasi mwaka huu kutokana na vita vya Israel na Hamas.
Baraza la mji wa Jerusalem nalo kwa upande wake limeshabomoa mapambo yote ya kuelezea furaha kwa ajili ya krismasi kutokana na uadui na majonzi yanayoletwa na mayahudi kwa waislamu na wakristo.
Kwa muda mrefu eneo alipozaliwa Yesu limekauka wakristo baada ya wengi kuhama kukimbia mateso ya askari wa Israel.Ukristo upande wa madhehebu ya kikatoliki kwa sasa makao yake makuu yako Vatican nchini Italia.
Wakristo walioko nje ya Jerusalem na Gaza kwa kiwango kikubwa na wao wamekuwa wakiogopa kuitembelea Jerusalem na hivyo kuyafanya makanisa yaliyo mjini humo kuwa kama magofu yenye kuhofisha kwa kukosekana watu ndani yake.

Bethlehem church brings people to tears after redesigning Christmas nativity scene to reflect Israel-Hamas war

View attachment 2837240
Ngoja waje wakristo mavi wa buza na kwamtogole
 
We si ulisema unaleft JF na huta comment wala leta uzi humu jukwaani?
 
Waislam mnalazimisha wakristo wawachukie wayahudi [emoji16]


Mnatwanga maji kwenye kinu

Mkristo ni bora akae na myahudi kulko kukaa na gaidi/mwarabu
kula tano, lakini si zile za simba
 
Waislam mnalazimisha wakristo wawachukie wayahudi [emoji16]


Mnatwanga maji kwenye kinu

Mkristo ni bora akae na myahudi kulko kukaa na gaidi/mwarabu
Kwa kweli wakristo wa kweli ukiachana na hizi kanisa za kilokole na kisabato lazima awe karibu na waislamu.
Miongoni mwa wapigania uhuru wa Palestina ni wakristo kwani wanajua myahudi ni adui yao pamoja na hana kheri kabisa kwao.
 
Mimi naeleza ukweli unaojulikana na wakristo halisi.Kama wewe unajua kinyume chake hebu tupe picha nyengine tupate kuelimika.
Hakuna maelezo kutoka kwa Hamas ani



ya kwako hayo.
Kwa kweli wakristo wa kweli ukiachana na hizi kanisa za kilokole na kisabato lazima awe karibu na waislamu.
Miongoni mwa wapigania uhuru wa Palestina ni wakristo kwani wanajua myahudi ni adui yao pamoja na hana kheri kabisa kwao.
Huko ni kuchaguliana marafiki.Kila mtu achague rafiki amtakaye.
 
Umenena vyema!

Ila baada ya huu mtafaruku kuisha, huyo mkristo unayemsifu leo atabadilika na kuwa 'kafri'
Ukafiri upo pale pale hata hii leo.lakini muhimu katika mafunzo yetu sisi ukafiri wa wakristo ni nafuu kuliko wa wayahudi.
 
Back
Top Bottom