Picha mpya ya Yesu yamuonesha akiwa kwenye maporomoko ya majengo yaliyosababishwa na mayahudi

Picha mpya ya Yesu yamuonesha akiwa kwenye maporomoko ya majengo yaliyosababishwa na mayahudi

Picha hiyo ilizinduliwa rasmi kwenye misa ya Jumapili iliyopita mjjini Jerusalem alipozaliwa nabii Issa a.s (Yesu) ambapo padri Munther Isaac alisema huo ni ubunifu wa wanafamilia wa kikristo kuungana na wenzao wapalestina kuomboleza madhila wanayopata kutoka kwa mayahudi.
Akimalizia misa yake hiyo padre Munther alisema anaamini ujumbe utakuwa umewafikia wakristo wote duniani na watu wote na mwisho akatoa taarifa rasmi kuwa hakutakuwa na maadhimisho ya krismasi mwaka huu kutokana na vita vya Israel na Hamas.
Baraza la mji wa Jerusalem nalo kwa upande wake limeshabomoa mapambo yote ya kuelezea furaha kwa ajili ya krismasi kutokana na uadui na majonzi yanayoletwa na mayahudi kwa waislamu na wakristo.
Kwa muda mrefu eneo alipozaliwa Yesu limekauka wakristo baada ya wengi kuhama kukimbia mateso ya askari wa Israel.Ukristo upande wa madhehebu ya kikatoliki kwa sasa makao yake makuu yako Vatican nchini Italia.
Wakristo walioko nje ya Jerusalem na Gaza kwa kiwango kikubwa na wao wamekuwa wakiogopa kuitembelea Jerusalem na hivyo kuyafanya makanisa yaliyo mjini humo kuwa kama magofu yenye kuhofisha kwa kukosekana watu ndani yake.

Bethlehem church brings people to tears after redesigning Christmas nativity scene to reflect Israel-Hamas war

View attachment 2837240
Hakuna anayejua sura ya Yesu, ni michoro na imaginations tu za watu, ni kama vile watu waanze kumchora Mudi leo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli mkuu. Licha ya kuiga kutoka kwa wayahudi aliogopa kuiga kutahiriwa kwa kuogopa kitu chenye ncha kali akaamua kubaki hivyo hivyo hadi umeutoa na kufa govi.
Naamini wale wasio "makufar" watatuchambulia. Ok
 
Kwa kweli wakristo wa kweli ukiachana na hizi kanisa za kilokole na kisabato lazima awe karibu na waislamu.
Miongoni mwa wapigania uhuru wa Palestina ni wakristo kwani wanajua myahudi ni adui yao pamoja na hana kheri kabisa kwao.
Siku hizi umekuwa msemaji wa Wakristu ??

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wanafamilia za kikristo wameamua kumvalisha Yesu sare ya Palestina.
Huo ndio uzalendo sio kama ukristo wa nchi za kiafrika ambao hawajielewe wanawanga mkono mayahudi.
Leo mnataka msaada toka kwa wakristo? Kwani wakristo na wayahudi Si ni maadui zenu?. halafu ulitupia uzi humu kwamba hivi Ni Vita vya kidini Kati ya waislamu na wayahudi, waambieni wahundu wawaunge mkono.
 
Mimi naeleza ukweli unaojulikana na wakristo halisi.Kama wewe unajua kinyume chake hebu tupe picha nyengine tupate kuelimika.
Juzi ulitamka kuwa wakristu na mayahudi wataenda motoni.Leo trna wakristo wamekuwa ndugu za waislam wa Gaza.Mbona unatuchanganya masta?Si ulisema nyie mkifa mnaenda kula raha ahera?
 
Ajieleze kiasi cha maumivu anyweshwe hata mitishamba.Najua dawa za kizungu atakataa.
Si unamuona kwa siku anaanzisha nyuzi kadhaa hapa kuipambania imani, ana masononeko sana mhurumie na kwa kadiri Israel inavyongeza dozi kwa magaidi ya hamasi basi ndo anachanganyikiwa kabisaaaa. Huyu atakwambia hatumii dawa za kikafiri atakwambia anatumia dawa za kisuna tena zenye chapa ya halal😂😆🤣
 
Juzi ulitamka kuwa wakristu na mayahudi wataenda motoni.Leo trna wakristo wamekuwa ndugu za waislam wa Gaza.Mbona unatuchanganya masta?Si ulisema nyie mkifa mnaenda kula raha ahera?
Wakristo ni watu wa karibu yetu waislamu na ni rahisi kuuepuka moto wakiacha kumfuata shetani anayewazuia.wakiendelea kumfuata huyo aliyelaaniwa na kufuata ushawishi wa mayahudi basi moto ni kweli ndio makazi yao pamoja na wanafiki waislamu na washirikina.
 
Si unamuona kwa siku anaanzisha nyuzi kadhaa hapa kuipambania imani, ana masononeko sana mhurumie na kwa kadiri Israel inavyongeza dozi kwa magaidi ya hamasi basi ndo anachanganyikiwa kabisaaaa. Huyu atakwambia hatumii dawa za kikafiri atakwambia anatumia dawa za kisuna tena zenye chapa ya halal😂😆🤣
Usiwe na wasiwasi na mimi.Kinachonisikitisha ni upuuzi wa waarabu wanaoacha fursa muhimu ya kuchuma pepo.Kuhusu ushindi wa Hamas na kushindwa kwa Israel wala sina shaka nako.Ni muda tu utakaoamua na sote tukashuhudia.
 
Si unamuona kwa siku anaanzisha nyuzi kadhaa hapa kuipambania imani, ana masononeko sana mhurumie na kwa kadiri Israel inavyongeza dozi kwa magaidi ya hamasi basi ndo anachanganyikiwa kabisaaaa. Huyu atakwambia hatumii dawa za kikafiri atakwambia anatumia dawa za kisuna tena zenye chapa ya halal😂😆🤣
Basi nihitimishe kwa kumuombea dua njema ili Allah amnusuru na mahangaiko.Vilevile aruzikiwe imaani maridhawa.InshaAllah!0
 
Usiwe na wasiwasi na mimi.Kinachonisikitisha ni upuuzi wa waarabu wanaoacha fursa muhimu ya kuchuma pepo.Kuhusu ushindi wa Hamas na kushindwa kwa Israel wala sina shaka nako.Ni muda tu utakaoamua na sote tukashuhudia.
Sawa Alwaz una bidii sana kwa imani yako. Amani na baraka tele za Yesu Kristo ziwe kwako.

Kuhusu kuchuma pepo nakupa ushauri wa bure tubu dhambi zako, makosa na uovu wako kwa kumuamini Yesu kristo huku ukiendelea kuishi maisha matakatifu hakika anaporudi Yesu kuchukua wana wa Mungu nawe utakuwa mmojawapo na utakuwa umeepuka ghadhabu ya Mungu ambayo i karibu sana kuujia ulimwengu.

Nakuombea sana kwa Mungu Yesu uje upande huu maana wewe u wa thamani sana kwa Mungu na wokovu ni kwa kila mtu.

Sina wasiwasi na kazi ya Yesu msalabani alitufia ili tupate msamaha kwa Mungu, na bado muda mchache sana atarudi. Yesu atakupa neema yake ya wokovu buree maana alikufa msalabani kwa ajili ya yako.

Inshalaaa Mungu akubariki sana🙏🙏🙏.
 
Back
Top Bottom