ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Sibishani na kipofu.utachomwa sana kwa dhambi ya uongo...🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sibishani na kipofu.utachomwa sana kwa dhambi ya uongo...🤣
I've double check that picture for sure there's no beauty in and outside of her eyes!.. maybe you choose to make a joke.🤣Sibishani na kipofu.
Huyu Dada ni mrembo natural...tulitegemea makorongo na chunusi chungu nzima.Ukiisha ingia jela tu makeup zote kwaheri
Unarudi kwenye uhalisia
Hakuna mrembo hapo
Mkuu hata wema sepetu anajilaumu ALIKUWA MSANII MKUBWAAAA ENZI ZILE sahiv hana TAKOOONi msanii katia tasnia gani ? Au demu akishakuwa na makalio makubwa tayari automatic anakuwa msanii ?
Unarudia rangi asili 😄Ukiisha ingia jela tu makeup zote kwaheri
Unarudi kwenye uhalisia
Hakuna mrembo hapo
Ana mabwana wengi sahv kna mmja nanjuwa anapambana amtoe 😄Hapo utakuta kuna wanaume wanafukuzana namna ya kumtoa kwenye huo mtihani.
Akifanikiwa anaenda kupewa zawadi ya ushindiAna mabwana wengi sahv kna mmja nanjuwa anapambana amtoe 😄
Ova
😆😆😆 mamwela wamefanya factory resetMrembo Joyce Mbaga maarufu kama Nicole Joy Berry amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni
View attachment 3265753
Mnoo Kama LadondokaNicole ana jicho zuri.
Welcome to bongo standards. Tako ndio qualificationNi msanii katia tasnia gani ? Au demu akishakuwa na makalio makubwa tayari automatic anakuwa msanii ?
Mbona bado pisi Kali tena ndo Kawa beauty zaidi?Ukiisha ingia jela tu makeup zote kwaheri
Unarudi kwenye uhalisia
Hakuna mrembo hapo
Dah!Mkuu mbona hapo kapaka make-up, uhalisia ni huu.
View attachment 3265860
Eti ee ila hebu nizoomMbona bado pisi Kali tena ndo Kawa beauty zaidi?
Haswaa 😄 🤣Unarudia rangi asili 😄
Ova
Kweli kila mmoja anavyoona kituUnarudia rangi asili 😄
Ova