PICHA: Mrembo Nicole Berry afikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za utapeli

PICHA: Mrembo Nicole Berry afikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za utapeli

Mrembo Joyce Mbaga maarufu kama Nicole Joy Berry amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam kwa ajili ya kujibu mashtaka za tuhuma zinazomkabili.

View attachment 3265753
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne alithibitisha kumshikilia Nicole mnamo Machi 3, 2025 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo za kukusanya fedha kupitia WhatsApp bila kibali na kisha kuzima simu yake.

Kauli ya Jeshi la Polisi ilifuatiwa na malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali wakidai pia walicheza upatu kwa Nicole lakini hakuwapolea simu.

Pia, Soma
Huyu mbona sio yeye?

Mwenyewe alikuwa anang'aa sura kama mzungu. Vidole kama vimetoka mbinguni.

Hapa tumepigwa. Kisutu sio ya kuamini
 
Yani anavyoleta mzahaa unaona kabisq ana uhakika Waliopo nyuma yake mahakama ni takataka tuu...! Kesi kama hizi haziwezi kuisha sababu kubwa ni hiii malaya anaijichekeshq mahakamani kama yupo guest kaona fimbo..shwain
Mkuu kafanyaje kwani? Hizi sio kesi za kuchukulia mzaha.

Ni kesi za kuzima M23 nchini Congo.
 
Amekaaa selo karibia siku 5 hakuna kuoga wala make up...joto ...hakuna hewa nzuri wala nn....sasa leo naamini ameenda keko au sega dance kabisaaaa
 
Back
Top Bottom