Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Hapo ungemalizia kuwa deni la mahali halifungi na kwa kawaida halilipwi.
Kwahio bwana harusi alitoa ngombe 2 na akatanguliza lita 5 za petroli kwa ajili ya hizo v8 na usd 100 kama kianzio.

Kwahio bwana harusi anadaiwa ngombe 528 na v8 3 na usd 9900 ambazo hana mpango wa kuzimalizia maana deni la mahali haliishagi
 
Mbaya zaidi watu wa Sudan kusini hukeketa wanawake, hivyo binti kitandani hasisimki.
 
Siyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
Hahahaha inachelesha lakin huo ndio ukweli
 
Mr. Kok Alat amelipa MAHARI hiyo kwa baba mzazi wa binti Huyo ambaye ni bikra kutoka Dinka kijiji cha Awiel jimbo la South Eastern nchini Sudan Kusini kutokana na historia ya utamaduni wao, heshima, ukarimu, unyenyekevu, na utu walionao.
 
Siyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Ngoja waje
 
Huyu Mr Kok ana undugu na Konk, Konk, Konk Master? a. k. a Oil Chafu, Mamba
 
Duh ana urembo gani huyo Dada mbona wa kawaida tu, sasa ikitokea wameachana mchizi si ataenda kudai mahari yake [emoji4] [emoji4]
 
Ulikuwa mnada au?

Huyo binti ajiandae kisaikolojia pia.
Kila lanheri kwa mwoajibna muolewaji
 
Kichaa cha kiumbe binadamu kwa kisingizio cha mila na desturi ... Thamani ya UTU inapopimwa kwa vipande vya fedha
 
Siyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…