mimi hapa jamani woiii! uje unipe hyo mahari(naichukua mwenyewe)Kama unamjua bikira nikotayari kutoa mahari milioni10 mabilioni yahuyo jaama sina ila kibongo bongo hataikiongezeka kidogo sio mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi hapa jamani woiii! uje unipe hyo mahari(naichukua mwenyewe)Kama unamjua bikira nikotayari kutoa mahari milioni10 mabilioni yahuyo jaama sina ila kibongo bongo hataikiongezeka kidogo sio mbaya
ukiwa mjanja hata bila mawe unakula vitoto vya ukweli kabisa,sasa ona ye kadata na bikra,katoa hela kibaao..wakati sisi huku kitaa bikra tunazitoa kila siku tena bure yaani,tafsiri ya mshamba ni nini? mshamba lakini ana mawe
mbona waafrika tunafanya? kama ingekua ni utumwa nna uhakika hao wanaharakati wa haki za binadamu wangetupinga hadi tuache!Kuoa kwa mahari kubwa ni biashara ya utumwa.
Au kununuliwa kama ng'ombe.
idumu kweli! In shaa allah[emoji120]Ndoa yao idumu tu tunawaombea, sio mahari nyingi halafu ndoa miezi 6 hakuna kitu, kila raheri kwake mdada ndiyo bahati yake hiyo
mang'ombe 520 sijui, magari v8 siju ngapi na milion ishirini juuuKatoa sh.ngapi wakati mwingine kuolewa ni bahati ya mtu
uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu.Hahaa kok alat ni tajiri mshamba kweli, na pesa zote zile alizo nazo ameenda kuoa demu mbaya..wanaume tukipata pesa tunakimbilia mademu wazuri wakati kok alat anakimbilia mademu wabaya de locci
amen!Oooh sawa binti, Mungu humpa kila mtu kwa wakati wake.
Mnaruhusiwa kufanya mnavyotaka na hakuna wa kuwakataza.mbona waafrika tunafanya? kama ingekua ni utumwa nna uhakika hao wanaharakati wa haki za binadamu wangetupinga hadi tuache!
swali kama una mke, haukumtolea mahari?
sijui wanakwamia wapi[emoji23][emoji23]kweli usililie uzuri lilia bahatiWakati wenzake wanazotoaaa bureee
Upata bikira utambemimi hapa jamani woiii! uje unipe hyo mahari(naichukua mwenyewe)
nimekuelewa vizuri sana mkuu. swali lingine familia ya mke wako walichukuliaje swala la wewe kutolipa mahari?Mnaruhusiwa kufanya mnavyotaka na hakuna wa kuwakataza.
Lakini hii ni moja ya sababu wanawake wa Kiafrika wanachukuliwa kama ng'ombe.
Wanapigwapigwa. Wanaonewaonewa.
Mimi sijatoa mahari, sijachangusha mchango wa harusi mtu hata mmoja, sijafanya ujinga ujinga, na maisha yangu ni tofauti sana kulinganisha na habari za maisha ya Mtanzania wa kawaida.
Hiyo hela ya mahari natoa sadaka.
Na mke niliyemuoa shopping yake ya weekend moja nikimfanyia ni mahari ya wake wawili Tanzania.
Sina haja ya kumbadilisha mtu.
Ila ukweli ninkwamba kuoa kwa mahari kubwa ni kumfanya mwanamke awe bidhaa ya kununuliwa.
Ndiyo maana wengine wakikisana na mke wakaachana, wanaenda kudai sehemu ya mahari yao.
Wanaona wamenunua bidhaa ambayo hawajaitumia.
[emoji23][emoji23] mbabaishaji yuleYupo huko dar anaitwa konki master oil chafu.
kunishushua hivyo ad unachapia vipi kwema?? ndo natamba af nnayo! next[emoji113]Upata bikira utambe
mhhh nyota njema huonekana asubuhi.Bahati ya mwenzio;......
Usihofu hata usipotolewa mahali lakini ukaishi maisha mazuri ni poa tu!
Duu katoa mahari kubwa kasababu anazo, hongera kwa wazazi wakemang'ombe 520 sijui, magari v8 siju ngapi na milion ishirini juuu
ongezea kuolewa kwa mahari kubwa ni bahati ya mtu
[emoji23]naweza nikampata hapahapa tena nikavunja rekodi ya cheusi mangala! usinikatishe tamaa dyadyaAhaaaa wewe zimia tu hakuna namna, weka video ya ul wimbo wa kuzimia
Huyo mwanaume tz hakuna
Kweli lilia bahati tu utasifiwa saana na uzuri lakini unasugua gaga wapi, lakini wenye sura za tafadhali nipigie hao wanapata ndoa mapema kabisasijui wanakwamia wapi[emoji23][emoji23]kweli usililie uzuri lilia bahati