Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Nimewahi kuishi na kufanya kazi na watu wa South Sudan,kwa kifupi hawa watu hawanaga uchoyo japokuwa wengi ni raia wa nje lakini asili yao huwa hawaisahau,afu ukisikia Mjuba ana pesa jua ana pesa kweli hiyo mahali ni chenji tu,Ukitaka kuwajua vizuri jichanganye kwenye viwanja vya Nairobi uone wanavyoball,nawashauri wadada wakibongo watafute danga la kijuba litakutoa mapene yote unayotaka,lakini kuoa lazima lioe kwao.
 
Nimewahi kuishi na kufanya kazi na watu wa South Sudan,kwa kifupi hawa watu hawanaga uchoyo japokuwa wengi ni raia wa nje lakini asili yao huwa hawaisahau,afu ukisikia Mjuba ana pesa jua ana pesa kweli hiyo mahali ni chenji tu,Ukitaka kuwajua vizuri jichanganye kwenye viwanja vya Nairobi uone wanavyoball,nawashauri wadada wakibongo watafute danga la kijuba litakutoa mapene yote unayotaka,lakini kuoa lazima lioe kwao.
source ya income yao ni nini ad wanakua na mawe hivyo?

kwa daslam wanapatikana wapi nikajilipue mie nmechoka kukopwa [emoji23]
 
Wengi wanaconection na viongozi wa SLP na Waasi,in short money laundering kupitia kampuni za mafuta,madini,na 10% ya manunuzi ya silaha,afu viongozi wa waasi wengi ni maadvisers kwenye masuala ya ulinzi kwenye makampuni ya uchimbaji mafuta, na madini,pesa za madili mengi ya Southsudan mzunguko wake upo kenya na Uganda,imagine mtoto wa Salva Kiir mwenye umri chini ya miaka 20 ameinvest dola zaidi ya milioni tano kwenye kampuni moja huku kenya,hiyo pesa kaitoa wapi?
 
Wengi wanaconection na viongozi wa SLP na Waasi,in short money laundering kupitia kampuni za mafuta,madini,na 10% ya manunuzi ya silaha,afu viongozi wa waasi wengi ni maadvisers kwenye masuala ya ulinzi kwenye makampuni ya uchimbaji mafuta, na madini,pesa za madili mengi ya Southsudan mzunguko wake upo kenya na Uganda,imagine mtoto wa Salva Kiir mwenye umri chini ya miaka 20 ameinvest dola zaidi ya milioni tano kwenye kampuni moja huku kenya,hiyo pesa kaitoa wapi?
I mean SPLA na SPLA-OPPOSITION.
 
Nenda ukaolewa wewe unayejua kukatika badala yake
aaahh mkuu mi naoa...tena nachagua ...ila si unajua unatakiwa uchukue kitu nyonga....mi SIWEZ OLEWA MI NAOA MKUU...tena naoa anayejua kukata mauno ..japo na wa pembeni ntawasaka tu wenye ujuzi wa aina mbalimbali
 
Siyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
hahahahahaaa
 
Punguza wivu kila mtu ana chaguo lake
aaahh mkuu mi naoa...tena nachagua ...ila si unajua unatakiwa uchukue kitu nyonga....mi SIWEZ OLEWA MI NAOA MKUU...tena naoa anayejua kukata mauno ..japo na wa pembeni ntawasaka tu wenye ujuzi wa aina mbalimbali
I
 
Siyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
Jisus Christ [emoji16][emoji16]
 
Punguza wivu kila mtu ana chaguo lake
I
hakuna wivu hapo acha kuwaka...tulia tu tuteremshe comments.....kwani kun aasiye na chaguo...wacha achague lake ila ilimradi ipo jukwaani hapa tutaremsha tu comments iwe serious au crazy. SO TULIA TULIII
 
Hahaa kok alat ni tajiri mshamba kweli, na pesa zote zile alizo nazo ameenda kuoa demu mbaya..wanaume tukipata pesa tunakimbilia mademu wazuri wakati kok alat anakimbilia mademu wabaya de locci
Hao kina Wolper, Wema,Vera unaowaona wazuri analala nao kila akitaka kwa malipo, anawachukulia kama Sex tools.
Kaenda kuoa binti anaethaminika kwao, mwenye vigezo kwao, aliefundishwa kwao na atakae heshimika na watu wa sudan.
Na ukumbuke Uzuri/ubaya wa mtu ni subjective.
 
Nyalong, Bikira wa miaka 17 ambaye ni msichana mirefu zaidi nchini Sudan, ambaye hivi sasa anatajwa kama bikira ghali zaidi.

Kwa taratibu za kuoa za Sudan kumekuwa na ushindani mkali wa kumuoa Nyalong, Ijumaa iliyopita, ushindani mgumu na wachumba sita. Miongoni mwa wachumba walioshindana ili kumuoa alikuwa kamishna wa shirika la Awerial na makamu Ggavana wa sasa wa Jimbo la Eastern Lakes, David Mayom Riak, aliyeingia katika nafasi ya tatu akiwa na ng'ombe 353 na sehemu ya ardhi. Lakini Kok Alat aliibuka mshindi baada ya kulipa mahari ya ng'ombe 500, magari 3 ya injini za V8 na $10,000.

Nyalong alikuwa akipendwa zaidi sana kwa sababu ya urefu wake. Nchini Sudani, mwanamke mrefu Zaidi, hulipiwa mahari kubwa zaidi.

1574836821023.png
1574836838616.png

1574836900154.png
 
Back
Top Bottom