Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba.
Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba 25, wanaume sita tayari walikuwa wameitembelea familia ya Nyalong Ngong Deng wakitoa ahadi za posa; mmoja wa wanaume hao anaongoza kwa kuwa tayari kutoa ng’ombe 520 naa magari matatu aiana ya Toyata V8.
Miongoni mwa wanaume wanaotafuta kumuoa msichana huyo ni aliyekuwa kamishna wa Awerial na Naibu Gavana wa Sasa wa Jimbo la Lakes State Mashariki. Kok Alat anaongoza katika kumtaka binti huyo hazikuwashtua wanaomfahamu kwa utajiri wake mkubwa katika mataifa ya Afrika Mashariki.
Ripoti zinasema kuwa, wanaume wengine zaidi wamejitokeza wakiwa tayari kuchomoa posa kwa ajili ya kumnyakua Nyalong.
Wanaume sita tayari wameonyesha utayari wao wa kuondoka naye.
Katika jamii ya Yirol, mwanamume yeyote anayetaka kuoa ni sharti kuwashawishi vilivyo wazazi wa msichana kabla ya kuruhusiwa,
Familia huwatathmini wanaume kadhaa kabla ya kuweka uwanja wazi kwa walioteuliwa kumposa msichana huyo
Kwa sasa, bado pambano linaendelea na mshindi akipatikana, bila shaka tutawaarifu.





View attachment 912021View attachment 912022
Nimeishi Juba miaka flani iliyopita, sifa ya kwanza kwa wale jamaa huwa ni urefu. Yaani uwe mrefu na usiwe na minyama uzembe, weusi pia ni kipimo cha uzuri. Sasa wewe nenda na ufupi wako na rangi yako ya maji ya kunde halafu wakuhisi unataka kuchafua mbegu yao uone yatakayokukuta.
 
Dunia inamambo walisema watu pori... Tukisema uchawi upo duniani ndio hivi sasa...
 
Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba.
Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba 25, wanaume sita tayari walikuwa wameitembelea familia ya Nyalong Ngong Deng wakitoa ahadi za posa; mmoja wa wanaume hao anaongoza kwa kuwa tayari kutoa ng’ombe 520 naa magari matatu aiana ya Toyata V8.
Miongoni mwa wanaume wanaotafuta kumuoa msichana huyo ni aliyekuwa kamishna wa Awerial na Naibu Gavana wa Sasa wa Jimbo la Lakes State Mashariki. Kok Alat anaongoza katika kumtaka binti huyo hazikuwashtua wanaomfahamu kwa utajiri wake mkubwa katika mataifa ya Afrika Mashariki.
Ripoti zinasema kuwa, wanaume wengine zaidi wamejitokeza wakiwa tayari kuchomoa posa kwa ajili ya kumnyakua Nyalong.
Wanaume sita tayari wameonyesha utayari wao wa kuondoka naye.
Katika jamii ya Yirol, mwanamume yeyote anayetaka kuoa ni sharti kuwashawishi vilivyo wazazi wa msichana kabla ya kuruhusiwa,
Familia huwatathmini wanaume kadhaa kabla ya kuweka uwanja wazi kwa walioteuliwa kumposa msichana huyo
Kwa sasa, bado pambano linaendelea na mshindi akipatikana, bila shaka tutawaarifu.





View attachment 912021View attachment 912022
😂😂😂😅😅😅😅nmecheka sana ayseee
 
Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba.
Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba 25, wanaume sita tayari walikuwa wameitembelea familia ya Nyalong Ngong Deng wakitoa ahadi za posa; mmoja wa wanaume hao anaongoza kwa kuwa tayari kutoa ng’ombe 520 naa magari matatu aiana ya Toyata V8.
Miongoni mwa wanaume wanaotafuta kumuoa msichana huyo ni aliyekuwa kamishna wa Awerial na Naibu Gavana wa Sasa wa Jimbo la Lakes State Mashariki. Kok Alat anaongoza katika kumtaka binti huyo hazikuwashtua wanaomfahamu kwa utajiri wake mkubwa katika mataifa ya Afrika Mashariki.
Ripoti zinasema kuwa, wanaume wengine zaidi wamejitokeza wakiwa tayari kuchomoa posa kwa ajili ya kumnyakua Nyalong.
Wanaume sita tayari wameonyesha utayari wao wa kuondoka naye.
Katika jamii ya Yirol, mwanamume yeyote anayetaka kuoa ni sharti kuwashawishi vilivyo wazazi wa msichana kabla ya kuruhusiwa,
Familia huwatathmini wanaume kadhaa kabla ya kuweka uwanja wazi kwa walioteuliwa kumposa msichana huyo
Kwa sasa, bado pambano linaendelea na mshindi akipatikana, bila shaka tutawaarifu.





View attachment 912021View attachment 912022
Sema ni mrembo mno na pia yupo natural me ntatoa ngombe 900
 
Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba.
Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba 25, wanaume sita tayari walikuwa wameitembelea familia ya Nyalong Ngong Deng wakitoa ahadi za posa; mmoja wa wanaume hao anaongoza kwa kuwa tayari kutoa ng’ombe 520 naa magari matatu aiana ya Toyata V8.
Miongoni mwa wanaume wanaotafuta kumuoa msichana huyo ni aliyekuwa kamishna wa Awerial na Naibu Gavana wa Sasa wa Jimbo la Lakes State Mashariki. Kok Alat anaongoza katika kumtaka binti huyo hazikuwashtua wanaomfahamu kwa utajiri wake mkubwa katika mataifa ya Afrika Mashariki.
Ripoti zinasema kuwa, wanaume wengine zaidi wamejitokeza wakiwa tayari kuchomoa posa kwa ajili ya kumnyakua Nyalong.
Wanaume sita tayari wameonyesha utayari wao wa kuondoka naye.
Katika jamii ya Yirol, mwanamume yeyote anayetaka kuoa ni sharti kuwashawishi vilivyo wazazi wa msichana kabla ya kuruhusiwa,
Familia huwatathmini wanaume kadhaa kabla ya kuweka uwanja wazi kwa walioteuliwa kumposa msichana huyo
Kwa sasa, bado pambano linaendelea na mshindi akipatikana, bila shaka tutawaarifu.





View attachment 912021View attachment 912022
Bidhaa ipo sokoni
 
Back
Top Bottom