trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,668
- 8,745
Binadamu sijui huwa tunafikiria nini yaani.Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu sijui huwa tunafikiria nini yaani.Asante
Tunafikiria hivi tuBinadamu sijui huwa tunafikiria nini yaani.
Bado wewe..utaweka soon ya kwakoKulikuwa na ulazima wa kuweka picha mzee?
Nimefika Ngoja nisome kwanza !
Achana nao hawa, usiwajibuNiloe kisa picha tena yenye tatizo?? Mkuu sina nyege mshindo kiasi hicho. Labda angekuwa ameweka kwenye jukwaa la wakubwa ningefungua na mindset ya kingonongono, but kaomba msaada nina mindset ya kutoa mawazo apate tiba.
Unaonekana mtu poa sana & a real men, Hongera!.........[emoji4][emoji4][emoji4] jf is very interesting, mtu ametoa taarifa kwenye heading kabisa kwamba kuna picha na inahusu sehemu za Siri, Sasa mtu anafungua anakutana na hizo sehemu za Siri then anaanza kulalamika na kum-beza mtoa post, shida yetu memba wa humu tunadhani kukosoa na kubeza ndio u-great thiker, kuna uwezekano jf ndo kambi kuu ya watu wenye changamoto ya afya ya akili...........back to the topic, mkuu pole sana, mimi sio daktari ila kwa asilimia kubwa magonjwa ya zinaa dalili zake kubwa ni kuanza kwa vipele na miwasho kwenye uume au korodani, ni wazi umepita mahali sio sahihi, muone daktari wako kabla situation haijawa worse, note that kondom sio kwa ajili ya kuzuia mimba tu...........
Ahsante kwa taarifa! Nitafanya hivo chiefHiyo ni chancre ni primary stage ya kaswende, nenda hospital lakini utapewa dawa ya sindano, aina ya benzathinepenicilin dose utaambiwa huko huko, tuwe makini sana, nenda kacheck na ngoma.
Nakubali brohmeza cefixime na doxy...
alafu wacha ngono zembe dogo
Unapenda kuona madudu ya wanaume wenzio eee kuna shida sehemuBado wewe..utaweka soon ya kwako
Kwan tumependa kuona huyu mwamba aliyeweka la kwake kama sio shida zake?Unapenda kuona madudu ya wanaume wenzio eee kuna shida sehemu
Kwahiyo unahis na mimi zitanifika hizo shida? Sio mshamba wa k mmKwan tumependa kuona huyu mwamba aliyeweka la kwake kama sio shida zake?