Picha: Msaada tatizo sehemu za siri

Picha: Msaada tatizo sehemu za siri

Binadamu sijui huwa tunafikiria nini yaani.
Tunafikiria hivi tu
e316350339b12a10d966dd7afb4718f5--honey-badger-pretty-animals.jpg
 
.........[emoji4][emoji4][emoji4] jf is very interesting, mtu ametoa taarifa kwenye heading kabisa kwamba kuna picha na inahusu sehemu za Siri, Sasa mtu anafungua anakutana na hizo sehemu za Siri then anaanza kulalamika na kum-beza mtoa post, shida yetu memba wa humu tunadhani kukosoa na kubeza ndio u-great thiker, kuna uwezekano jf ndo kambi kuu ya watu wenye changamoto ya afya ya akili...........back to the topic, mkuu pole sana, mimi sio daktari ila kwa asilimia kubwa magonjwa ya zinaa dalili zake kubwa ni kuanza kwa vipele na miwasho kwenye uume au korodani, ni wazi umepita mahali sio sahihi, muone daktari wako kabla situation haijawa worse, note that kondom sio kwa ajili ya kuzuia mimba tu...........
Unaonekana mtu poa sana & a real men, Hongera!
Ahsante sana.
 
Back
Top Bottom