Picha: Msafara wa Warusi wanaotoroka usaili jeshini

Picha: Msafara wa Warusi wanaotoroka usaili jeshini

Hapo ni border kawaida kuwa na foleni ya magari hao watu wamesimama sioni kukimbia.
Georgia wenyewe hawajakanusha eti wewe uliyelazwa hapo Mirembe Hospital for the psychiatrists ndio unapinga, endelea kubaki hapo hadi utakapopata nafuu.
 
Hii habari imekuingia sawasawa naona maumivu ya wazi, kama yeye hajaandika andika wewe
Inaonekana na ww ni mkenya.

Kazi kueneza propaganda dhidi ya mataifa mengine wakati kwenye kinchi chenu uchwara mnanuka njaa kila mahari.

Pambaneni na njaa kwanza ndio ndio mkumbuke kupambana na Urusi
 
Umeisoma habari vizuri ukaielewa? "... some people abandoned their vehicles and proceeded on foot". Au umejitoa fahamu zote? Kwenye kujitoa fahamu pro fashisti always mnagonga distinction; hamkamatiki!
Wajisumbua jibu mtu anayetumia FUVU kufikiri
 
Mbona hutuletei habari za watu wanao kufa kwa njaa kwenye kinchi chenu uchwara?
Juzi rais wako alikuwa analalamika kwenye umoja wa mataifa na kuomba msada wa chakula ili msizidi kufa njaa.

Huu muda unao tumia kufanya propaganda unge utumia kudicus na wakenya wenzio ni namna gani mkabiliane na njaa la sivyo itawaliza.
Hili jukwaa ni mahsusi Kwaajili ya siasa za kimataifa kama vipi tulia Tu hayo mambo ya Samia na TANZANIA nenda kwenye majukwaa mengine yapo
 
Umeisoma habari vizuri ukaielewa? "... some people abandoned their vehicles and proceeded on foot". Au umejitoa fahamu zote? Kwenye kujitoa fahamu pro fashisti always mnagonga distinction; hamkamatiki!
Mtafisirie mkuu kimombo haoni ndani mwambie watu wametelekeza vyombo vyao vya usafiri na kuanza kuuchachaga mguu
 
Una elewa maana ya amri ya Amri jeshi mkuu ?

Note: Unadhani ni rahisi kukimbia amri inayo tolewa na amri jeshi mkuu kuhusu vijana wa 18 above kujiunga na jeshi la akiba kwa ajili ya kupigania nchi , fatilia Vita vya kagera namna vijana walivyo kuwa Wana kamatwa wale walio kuwa wanaenda kuji ficha maporini.

Sio rahisi kwa vijana wa kiume kukimbia Russia na Ukraine kwa sasa hilo weka kichwani, hata ingetokea kwenye nchi yenu ingekuwa ni hivyo hivyo.
Mkuu nje ya mada, umefuatilia kinachoendelea China. Maana huwa unasisitiza China iko stable ila sio kweli kabisa. Kuna mnyukano wa ndani kwa ndani na factions
 
Tatizo baadhi ya hayo mataifa yako kwenye mikono ya Putini anaweza akaamrisha yafunge mipaka yao na kuzuia.
Lete mfano wa taifa moja, maana Uturuki ndiye anayempigisha urusi indirect, Armenia ni coloni la marekani lakini Finland ndio kabisa wameshapeleka ombi la kujiunga na Nato, Gorgia washawapokea 140,000 toka vita ianze na wanaendelea
 
Russia's neighboring countries have denied reports of a "mass departure" of Russians.

The checkpoints are operating normally.

[emoji1109]Georgia. The Tax Service informs that over the past 10 days there has been no sharp increase in the flow of people entering and leaving the country at the Kazbegi checkpoint.

[emoji1138]Kazakhstan. The Ministry of Internal Affairs of the Republic officially denied the reports of some media about the "mass migration" of Russians.

"This year, about 1 million 660 thousand citizens of the Russian Federation entered Kazakhstan, and 1 million 640 thousand left," the head of the migration service said.

[emoji1103]Finland. According to the Finnish border service, 4,400 Russians entered the country on September 21, and 5,950 Russians on September 22. At the same time, on the previous days of this week, there were an average of about 2,900 arrivals.

However, if we take earlier dates, then from September 15 to September 21, about 4,000 Russians entered Finland per day. And in August, the values were even higher. That is, there is no noticeable growth, the average figures have approximately remained.

A small increase in the number of tourists from the Russian Federation could arise against the background of reports about the imminent ban on entry to Finland for Russians. As it has already been banned by the Baltic states.

[emoji1170]Mongolia. The country's Foreign Ministry also denied reports by some Western media that there are allegedly queues of Russians trying to evade mobilization at border crossings with the Russian Federation.

"To date, the Altanbulag border crossing of the Selenga Aimag (region) is operating normally. There are no queues," the ministry said.

Subscribe to @Sputnik

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nje ya mada, umefuatilia kinachoendelea China. Maana huwa unasisitiza China iko stable ila sio kweli kabisa. Kuna mnyukano wa ndani kwa ndani na factions
Mkuu napenda namna unavyo fuatilia siasa za kimataifa 😁 hii tetesi ya mnyukano CPC nilijua ninayo mimi tu daah kumbe na wewe mkuu unayo .

Karibu tuendeleze mjadala
 
Mkuu nje ya mada, umefuatilia kinachoendelea China. Maana huwa unasisitiza China iko stable ila sio kweli kabisa. Kuna mnyukano wa ndani kwa ndani na factions
Hii mkuu ina nikumbusha 1950s great leap forward kundi la Chairm Mao [ leftists ] Lili tifuana na kundi la kina Deng Xiaoping lakini ubabe wa Mao aka force mambo mengi kuwa , 1960s kwenye Cultural revolution mtifuano ukaibuka tena Mao na kundi lake likiongozwa na kikosi kazi cha Gang of Four kilipambana ndani na nje ya Chama rivary kama kawaida ni team mabadiliko Deng Xiaoping hii miaka iliondoka na vichwa vingi sana ndani ya Chama Deng Xiaoping akatupwa nje , baba yake na Xi Jinping akafungwa kifungo cha nyumbani na kutolewa ndani ya Chama Xi Jinping alipelekwa maporini huko kwa usalama wake. ndani ya Chama wengi walifekwa balaa Deng alimbebeleza sana Mao amrudishe chamani mzee akakataa baada ya mzee kufariki 1976 mtifuano chamani ukaibuka hapo Deng Xiaoping bado alikuwa ameacha masalia ndani ya chama wakati huo yeye kapelekwa jeshini [ PLA ] na Mao kwa hiyo vugu vugu la kutaka kurudishwa kwa Deng Xiaoping na wenzake likaubuka ndani ya chama kumbuka Deng Xiaoping tayari ana influence ndani ya jeshi na chama. 1976 China ili kuwa inapitia kipindi Cha mpito chini ya Hua Guofeng huyu ni team Mao[ leftists ] kuelekea uchaguzi wa 1978 ndani ya chama Team rights [ Deng Xiaoping na wenzake walio nje ya Chama na ndani pamoja na maafisa baadhi wa PLA ] wakaforce mtaalamu Deng Xiaoping kurudishwa chamani 1977, 1978 uchaguzi ukafanyika Deng akashinda na kumtupa mbali mpinzani wake team Mao baada ya kuchukua kiti Deng akaanza kuwaweka pembeni Team Mao akafyeka wote Gang of four akiwemo mke wa Chairman Mao , 1989 mtifuano ukatokea tena baada ya maandamano ya Tianmen square wanachama walikuwa Wana lalamika namna premier Zhao ziyang maamuzi aliyochukua ya namna ya kudeal na waandamanaji baada ya kuachwa tu ikabidi mtaalamu Deng achukue maamuzi magumu ya kumuweka pembeni Zhao ziyang kuokoa msimamo wake na wa kundi lake na ndipo Deng akachukua maamuzi ya kutuma jeshi kwenda kupambana na waandamanaji kilicho fuata hapo ni kitu kisicho elezeka kwa waandamanaji ikabidi na yeye Deng ajiweke pembeni kuwa Rais na kubaki chamani mpaka 1992 alipo achia kabisa uongozi ndani ya Chama kumbuka 1989 Rais alikuwa Jiang Zemin ambaye alikuwa upande wa kina Deng Xiaoping na baadae akafuata Hu Jintao balaa zaidi ni baada ya kuchukua nchi chuma Xi Jinping 2013 akaanza na kufunga watu kwa rushwa zaidi ya maafisa 1mln wa serikali na chama waliwekwa ndani na wengine kunyongwa .
 
Hii mkuu ina nikumbusha 1950s great leap forward kundi la Chairm Mao [ leftists ] Lili tifuana na kundi la kina Deng Xiaoping lakini ubabe wa Mao aka force mambo mengi kuwa , 1960s kwenye Cultural revolution mtifuano ukaibuka tena Mao na kundi lake likiongozwa na kikosi kazi cha Gang of Four kilipambana ndani na nje ya Chama rivary kama kawaida ni team mabadiliko Deng Xiaoping hii miaka iliondika na vichwa vingi Sana ndani ya Chama Deng Xiaoping akatupwa nje , baba yake na Xi Jinping akafungwa kifungo Cha nyumbani na kutolewa ndani ya Chama Xi Jinping alipelekwa maporini huko kwa usalama wake ndani ya Chama wengi walifekwa balaa Deng alimbebeleza sana Mao amrudishe chamani mzee akakataa baada ya mzee kukata moto 1976 mtifuano chamani ukaibuka hapo Deng Xiaoping bado alikuwa ameacha masalia ndani ya chama wakati huo yeye kapelekwa jeshini [ PLA ] na Mao kwa hiyo vugu vugu la kutaka kurudishwa kwa Deng Xiaoping na wenzake likaubuka ndani ya chama kumbuka Deng Xiaoping tayari ana influence ndani ya jeshi na chama. 1976 China ili kuwa inapitia kipindi Cha mpito chini ya Hua Guofeng huyu ni team Mao[ leftists ] kuelekea uchaguzi wa 1978 ndani ya chama Team rights [ Deng Xiaoping na wenzake walio nje ya Chama na ndani pamoja na maafisa baadhi wa PLA ] wakaforce mtaalamu Deng Xiaoping kurudishwa chamani 1977, 1978 uchaguzi ukafanyika Deng akashinda na kumtupa mbali mpinzani wake team Mao baada ya kuchukua kiti Deng akaanza kuwaweka pembeni Team Mao akafyeka wote Gang of four akiwemo mke wa Chairman Mao , 1989 mtifuano ukatokea tena baada ya maandamano ya Tianmen square wanachama walikuwa Wana lalamika namna premier Zhao ziyang maamuzi aliyochukua ya namna ya kudeal na waandamanaji baada ya kuachwa tu ikabidi mtaalamu Deng achukue maamuzi magumu ya kumuweka pembeni Zhao ziyang kuokoa msimamo wake na wa kundi lake na ndipo Deng akachukua maamuzi ya kutuma jeshi kwenda kupambana na waandamanaji kilicho fuata hapo ni kitu kisicho elezeka kwa waandamanaji ikabidi na yeye Deng ajiweke pembeni kuwa Rais na kubaki chamani mpaka 1992 alipo achia kabisa uongozi ndani ya Chama kumbuka 1989 Rais alikuwa Jiang Zemin ambaye alikuwa upande wa kina Deng Xiaoping na baadae akafuata Hu Jintao balaa zaidi ni baada ya kuchukua nchi chuma Xi Jinping 2013 akaanza na kufunga watu kwa rushwa zaidi ya maafisa 1mln wa serikali na chama waliwekwa ndani na wengine kunyongwa .

Nitaendelea
Kwa sasa CPC kuna faction mbili kubwa Team Jiang Zemin na Xi Jinping , Jiang Zemin ikiimtuhumu Xi Jinping kujirundikia madaraka na kuwa na mkono wa chuma kitu ambacho sidhani kama madai haya yana maana sana.

Kitu pekee kinacho mponza Xi Jinping kwa sasa wakati ana ingia madarakani Kama Rais 2013 aliingia kwanza kwa shida sana meritocracy ndio iliyo okoa jahazi bila hivyo tayari mambo yalikuwa sio mazuri ikabidi aanze kufanya total crackdown ya rushwa kwa wanachama na maafisa wa serikali hapa ndipo uadui ulipo anza kukua maana alishughulikia manguli ndani ya chama na serikali ikiwemo mgombea mwenza Bao Xilai na wengine wengi .

Alishughulikia matajiri wote waliokuwa na influence ndani ya chama , waliokuwa wana kwepa kulipa kodi. ubaya zaidi ni kuwa Kundi la Jiang Zemin ndilo lilikuwa na wala rushwa wengi na matajiri wenye nguvu wengi kitu ambacho kilikuwa ni hatari kwa CPC na China kama ambavyo Soviet ilikuwa na China ilikuwa inaelekea huko .

Baada ya CPC kupanga kumuongezea third term Xi Jinping kundi la Jiang Zemin Ni Kama halikubaliani na hiki kitu kwa kuwa wanamuona Xi Jinping Kama mbaya wao na wana mtazama Xi Jinping Kama ni Next Mao / Deng

Ila Xi Jinping hotuba zake za mwanzo baada ya kungia urais na kuwa General Secretary wa CPC aliapa kukomesha rushwa na kushughulikia wabaya wa rushwa ndani ya chama .

Tetesi za mapinduzi ndani ya chama na jeshi sina hakika nazo sijui Kama ni za ukweli au uongo wacha tusubiri tuone maana mkutano wa chama umefika . Je Xi ata ongezewa muhula wa tatu au ita shindikana ?

Je Xi Jinping ni Next Mao/ Deng swali la kujiuliza ?
 
Lete mfano wa taifa moja, maana Uturuki ndiye anayempigisha urusi indirect, Armenia ni coloni la marekani lakini Finland ndio kabisa wameshapeleka ombi la kujiunga na Nato, Gorgia washawapokea 140,000 toka vita ianze na wanaendelea

Urusi ana hadi base pale Armenia....
 
Urusi sasa hivi hakukaliki kwa wanaume.... Watu wameamua kwenda kuanza maisha upya kwingine, wanamuachia nchi wazimu na vita vyake....

AA12atks.img


View attachment 2366138
ISTANBUL (AP) — Military-aged men fled Russia in droves Friday, filling planes and causing traffic jams at border crossings to avoid being rounded up to fight in Ukraine following the Kremlin's partial military mobilization.

Queues stretching for 10 kilometers (6 miles) formed on a road leading to the southern border with Georgia, according to Yandex Maps, a Russian online map service.

The lines of cars were so long at the border with Kazakhstan that some people abandoned their vehicles and proceeded on foot — just as some Ukrainians did after Russia invaded their country on Feb. 24.
Meanwhile, dozens of flights out of Russia — with tickets sold at sky-high prices — carried men to international destinations such as Turkey, Armenia, Azerbaijan and Serbia, where Russians don't need visas.

Among those who reached Turkey was a 41-year-old who landed in Istanbul with a suitcase and a backpack and plans to start a new life in Israel.
Mbona hatuoni hao Warusi wanao kimbia mkuu?Hivi kwa nini msilete taarifa zinazoeleweka mkuu.Uongo wenu mwingine uko wazi mno.Nadhani ndio mwendelezo wa haya.👇
 

Attachments

  • 3055.jpg
    3055.jpg
    20.7 KB · Views: 2
Hii mkuu ina nikumbusha 1950s great leap forward kundi la Chairm Mao [ leftists ] Lili tifuana na kundi la kina Deng Xiaoping lakini ubabe wa Mao aka force mambo mengi kuwa , 1960s kwenye Cultural revolution mtifuano ukaibuka tena Mao na kundi lake likiongozwa na kikosi kazi cha Gang of Four kilipambana ndani na nje ya Chama rivary kama kawaida ni team mabadiliko Deng Xiaoping hii miaka iliondoka na vichwa vingi sana ndani ya Chama Deng Xiaoping akatupwa nje , baba yake na Xi Jinping akafungwa kifungo cha nyumbani na kutolewa ndani ya Chama Xi Jinping alipelekwa maporini huko kwa usalama wake. ndani ya Chama wengi walifekwa balaa Deng alimbebeleza sana Mao amrudishe chamani mzee akakataa baada ya mzee kufariki 1976 mtifuano chamani ukaibuka hapo Deng Xiaoping bado alikuwa ameacha masalia ndani ya chama wakati huo yeye kapelekwa jeshini [ PLA ] na Mao kwa hiyo vugu vugu la kutaka kurudishwa kwa Deng Xiaoping na wenzake likaubuka ndani ya chama kumbuka Deng Xiaoping tayari ana influence ndani ya jeshi na chama. 1976 China ili kuwa inapitia kipindi Cha mpito chini ya Hua Guofeng huyu ni team Mao[ leftists ] kuelekea uchaguzi wa 1978 ndani ya chama Team rights [ Deng Xiaoping na wenzake walio nje ya Chama na ndani pamoja na maafisa baadhi wa PLA ] wakaforce mtaalamu Deng Xiaoping kurudishwa chamani 1977, 1978 uchaguzi ukafanyika Deng akashinda na kumtupa mbali mpinzani wake team Mao baada ya kuchukua kiti Deng akaanza kuwaweka pembeni Team Mao akafyeka wote Gang of four akiwemo mke wa Chairman Mao , 1989 mtifuano ukatokea tena baada ya maandamano ya Tianmen square wanachama walikuwa Wana lalamika namna premier Zhao ziyang maamuzi aliyochukua ya namna ya kudeal na waandamanaji baada ya kuachwa tu ikabidi mtaalamu Deng achukue maamuzi magumu ya kumuweka pembeni Zhao ziyang kuokoa msimamo wake na wa kundi lake na ndipo Deng akachukua maamuzi ya kutuma jeshi kwenda kupambana na waandamanaji kilicho fuata hapo ni kitu kisicho elezeka kwa waandamanaji ikabidi na yeye Deng ajiweke pembeni kuwa Rais na kubaki chamani mpaka 1992 alipo achia kabisa uongozi ndani ya Chama kumbuka 1989 Rais alikuwa Jiang Zemin ambaye alikuwa upande wa kina Deng Xiaoping na baadae akafuata Hu Jintao balaa zaidi ni baada ya kuchukua nchi chuma Xi Jinping 2013 akaanza na kufunga watu kwa rushwa zaidi ya maafisa 1mln wa serikali na chama waliwekwa ndani na wengine kunyongwa .
Deng Xiaoping inasemekana aliondolewa na watu kwenye ngazi, hakuondoka mwenyewe pale juu ila iliwekwa siri na CCP ni wazuri kutunza siri, ni kama Mugabe alivyofanyiwa ila ilikuwa public.

Huyo Jiang Zemin ana influence kubwa hadi sasa hasa ya walafi na biashara haramu. Xi anapambana nao sana ila sio kwamba ana complete control na isitoshe mwezi ujao ni mkutano wao mkuu ambao ndio una mbivu na mbichi. Ndio maana Xi kafunga maafisa wakubwa sita hadi sasa akiwemo wa polisi na Waziri wa Sheria ambaye hataki Xi apokee muhura wa tatu. Ndani ya chama na jeshini kuna factions kuu tatu ziko low muda wowote utaziona tu. CCP hawataki lifetime leader kama Mao, Xi anaonekana kutaka hivyo.

Xi ni mzuri kupambana na rushwa hivyo wezi wote hawamtaki. Ila ana uchu wa madaraka na ana maadui hasa wale wenye uwezo kupata nafasi yake, akitokea mtu ana ushawishi juu yeye hamtaki. Na yuko pacifist, jeshi na chama kuna hardliners wengi wanaohisi kwa sasa wana uwezo wa kuivamia Taiwan na wanaforce afanye hivyo
 
Mkuu nje ya mada, umefuatilia kinachoendelea China. Maana huwa unasisitiza China iko stable ila sio kweli kabisa. Kuna mnyukano wa ndani kwa ndani na factions
Rais wa China amewekwa kizuizini na Jeshi. Mnyukano wa kuwania uteuzi wa Chama Cha CCP unakwenda kuisambaratisha Serikali ya China.
 
Deng Xiaoping inasemekana aliondolewa na watu kwenye ngazi, hakuondoka mwenyewe pale juu ila iliwekwa siri na CCP ni wazuri kutunza siri, ni kama Mugabe alivyofanyiwa ila ilikuwa public.

Huyo Jiang Zemin ana influence kubwa hadi sasa hasa ya walafi na biashara haramu. Xi anapambana nao sana ila sio kwamba ana complete control na isitoshe mwezi ujao ni mkutano wao mkuu ambao ndio una mbivu na mbichi. Ndio maana Xi kafunga maafisa wakubwa sita hadi sasa akiwemo wa polisi na Waziri wa Sheria ambaye hataki Xi apokee muhura wa tatu. Ndani ya chama na jeshini kuna factions kuu tatu ziko low muda wowote utaziona tu. CCP hawataki lifetime leader kama Mao, Xi anaonekana kutaka hivyo.

Xi ni mzuri kupambana na rushwa hivyo wezi wote hawamtaki. Ila ana uchu wa madaraka na ana maadui hasa wale wenye uwezo kupata nafasi yake, akitokea mtu ana ushawishi juu yeye hamtaki. Na yuko pacifist, jeshi na chama kuna hardliners wengi wanaohisi kwa sasa wana uwezo wa kuivamia Taiwan na wanaforce afanye hivyo
Daah ! Mkuu wewe ni wapili humu jf kukutana na mtu at least anaye fuatilia siasa za China , japokuwa hazina sana kelele za vyombo vya habari lakini siasa zao ni ngumu sana mule chamani Kuna makundi yanayo limana balaa toka enzi za Chairman Mao hadi leo wacha tusubiri mwezi ujao hata mimi nasubiri moto kuwaka mule Hall of people Ila naimani Xi Jiping anakula muhula wa tatu wakina Jiang watulie muda wao umeisha kwanza wezi balaa na wapenda rushwa wamuache mtoto wa katibu muenezi wa chama na mtoto wa mkulima Xi Jiping aipeleke China mbali😁.

Xi Jiping ana hekima sana hili swala la Taiwan kwangu mimi mpaka sasa ana lihandle vizuri tu Ila wao wanalazimisha avamie kwa sasa muda wa China kufanya hivyo bado sana labda atleast 2025 na kuendelea Ila kamanda Xi Jiping atapambana nao mpaka ata shinda Kama Deng Xiaoping alipambana na wale kundi la Mao manguli wa chama isitoshe Hawa wakina Jiang wajiandae kufyekwa maana inavyo onekana wana taka kuizamisha China kwa rushwa kitu ambacho ni kibaya sana kina wasumbua Urusi balaa .

Third term lazima Xi Jiping achukue kiti Xi Jiping mpole sana angekuwa Mao hawa mpaka sasa wasinge kuwa chamani wengine wasinge kuwa hai . Ile Gang of four ilifanya kazi ya kinyama sana kwa wale walio kuwa kundi tofauti na Mao Ila Xi yeye muungwana anatumia mahakama kuwa weka ndani Mao asingetumia mahakama angetumia mkono wa chuma 😁 mpaka wote wangepungua Baba yake na Xi Jiping , Deng Xiaoping hawa walimjua Mao vizuri hata Xi Jiping mwenyewe ana historia mbaya na Mao .

Ila wacha tusubiri Next Month hapo Beijing katika hall of people tuone moto utakao waka lakina haya mambo ni kawaida China pale ambapo uchaguzi ndani ya chama una karibia toka wakati wa Mao mpaka sasa wakati wa Xi Jiping.
 
Rais wa China amewekwa kizuizini na Jeshi. Mnyukano wa kuwania uteuzi wa Chama Cha CCP unakwenda kuisambaratisha Serikali ya China.
Sidhani kama hilo litatokea mkuu kuiangusha CPC na Kuiangusha serikali ya China sio rahisi hivyo Kuna walio jaribu kilicho wakuta ni kifo , haya mambo huwa Yana tokea kipindi uchaguzi unaelekea kufanyika ndani ya CPC toka wakati wa Chairman Mao mpaka sasa factions ndani ya CPC Ni kwaida hilo Jambo wameshindwa kulifanyia utatuzi . tusubiri mwezi ujao tuone moto utakavyo waka hapo Hall of People .
 
Deng Xiaoping inasemekana aliondolewa na watu kwenye ngazi, hakuondoka mwenyewe pale juu ila iliwekwa siri na CCP ni wazuri kutunza siri, ni kama Mugabe alivyofanyiwa ila ilikuwa public.

Huyo Jiang Zemin ana influence kubwa hadi sasa hasa ya walafi na biashara haramu. Xi anapambana nao sana ila sio kwamba ana complete control na isitoshe mwezi ujao ni mkutano wao mkuu ambao ndio una mbivu na mbichi. Ndio maana Xi kafunga maafisa wakubwa sita hadi sasa akiwemo wa polisi na Waziri wa Sheria ambaye hataki Xi apokee muhura wa tatu. Ndani ya chama na jeshini kuna factions kuu tatu ziko low muda wowote utaziona tu. CCP hawataki lifetime leader kama Mao, Xi anaonekana kutaka hivyo.

Xi ni mzuri kupambana na rushwa hivyo wezi wote hawamtaki. Ila ana uchu wa madaraka na ana maadui hasa wale wenye uwezo kupata nafasi yake, akitokea mtu ana ushawishi juu yeye hamtaki. Na yuko pacifist, jeshi na chama kuna hardliners wengi wanaohisi kwa sasa wana uwezo wa kuivamia Taiwan na wanaforce afanye hivyo
Huyu mzee ni mpumbavu Sana kwanza umri wake umekwisha enda sana , akiache chama ndio maana Magufuli aliwaambia wastafaa watulie waache kuwashwa washwa.
 
Urusi sasa hivi hakukaliki kwa wanaume.... Watu wameamua kwenda kuanza maisha upya kwingine, wanamuachia nchi wazimu na vita vyake....

AA12atks.img


View attachment 2366138
ISTANBUL (AP) — Military-aged men fled Russia in droves Friday, filling planes and causing traffic jams at border crossings to avoid being rounded up to fight in Ukraine following the Kremlin's partial military mobilization.

Queues stretching for 10 kilometers (6 miles) formed on a road leading to the southern border with Georgia, according to Yandex Maps, a Russian online map service.

The lines of cars were so long at the border with Kazakhstan that some people abandoned their vehicles and proceeded on foot — just as some Ukrainians did after Russia invaded their country on Feb. 24.
Meanwhile, dozens of flights out of Russia — with tickets sold at sky-high prices — carried men to international destinations such as Turkey, Armenia, Azerbaijan and Serbia, where Russians don't need visas.

Among those who reached Turkey was a 41-year-old who landed in Istanbul with a suitcase and a backpack and plans to start a new life in Israel.
Putin alivamia nchi ya Ukraine bila ridhaa ya bunge la Urusi leo hii anataka waladhimisha wananchi kujiunga na uvamiz wake , hz ni siasa za afrika ni kituko kufanywa na watu tuliamin wapo smart
 
Back
Top Bottom