Picha: Mtangazaji wa Azam TV avaa hovyo Ofisini

Sukari ..sukari zao baya kweli lishawavuruga watu eee hadi Kola tu MTU anazua varangati Na kulimwaga mitandaoni..
 
ungekaa kimya wala wenye akili tusingejua kuwa wewe ni wale waliorudishwa toka UDOM. Yaani huoni tatizo kwa mtangazaji wa TV kuvaa vibaya/hovyo? unasema ni usanii kwenye taarifa ya habari? unajua appearance ya watangazaji wa tv ilivyo muhimu kwa mtazamaji? anyway..nakwambia mambo yaliyo juu sana ya uwezo wako.
Sioni tatizo kwani yuko theatre kuwa ataua wagonjwa? Si ni usanii huo wa TV. Haina athatri kwa maisha ya watu katu
 
Mie ni MAARIFA sasa unakuwaje CHIZI MAARIFA???
 
chizi maarifa ni kuwa nimekuwa chizi kutokana na maarifa. sometime hata watu wanashindwa kunielewa. nina maarifa mengi kiasi kuna vitu naona wenye uelewa wa kawaida hawavioni kama ni shida.

Mie ni MAARIFA sasa unakuwaje CHIZI MAARIFA???
 
Daa acha kumuharibia mwenzio kazi! Vipi angekuwa mdogo wako!
 
chizi maarifa ni kuwa nimekuwa chizi kutokana na maarifa. sometime hata watu wanashindwa kunielewa. nina maarifa mengi kiasi kuna vitu naona wenye uelewa wa kawaida hawavioni kama ni shida.
Mkuu umekuwa socrates? maana wagiriki walimuona chizi wakamuua kumbe aliyowaambia yalikuwa sawa kabisa. Haya. nimeelewa.
 
chizi maarifa ni kuwa nimekuwa chizi kutokana na maarifa. sometime hata watu wanashindwa kunielewa. nina maarifa mengi kiasi kuna vitu naona wenye uelewa wa kawaida hawavioni kama ni shida.
Sio kwa hiki, ni kitu kidogo sana katika ulimwengu wa maarifa Duniani ndugu.
 
jamani naona tuendelee kuona mavazi ya mtangazaji wa luninga , hapa nilikuwa namchokoza rafiki na wajina wangu CHIZI MAARIFA. sio chizi.
 
Kaamka nazo huyu si bure ...
 

Mkuu kwani we umesoma wapi mbona unakandia sana wa UDOM??
 
wengi mnachangia kwa sababu wengine ni ushabiki au itikadi. kama mngekuwa mnasoma soma angalau kidogo mngejua umuhimu wa mavazi kwenye watangazaji wa tv au umuhimu wa mwonekano kwa watangazaji wa TV
 
Umetumia nguvu nyingi sana, hili ni taifa la veelazor sijui kama kuna atakayekuelewa....naamini wachache tutakuelewa
 
Sasa nimeamini kuwa kweli unatumia TV LED nimeona ilivyoslim so usizugie kuhusu dada WA watu labda Feni limepeperusha kola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…