Picha: Mtangazaji wa Azam TV avaa hovyo Ofisini

Picha: Mtangazaji wa Azam TV avaa hovyo Ofisini

NASHUKURU NDUGU YANGU KWA KUNIONEA HURUMA. yaani wao hawaoni tatizo kabisa. wao yote ni sawa tu.

Umetumia nguvu nyingi sana, hili ni taifa la veelazor sijui kama kuna atakayekuelewa....naamini wachache tutakuelewa
 
WE NDUGU YANGU HUNA UELEWA KABISA ndo nyie mnasababisha taifa lionekane lina watu wengi kumbe wengine hamna umuhimu
Acha uchizi wako ,nitakugeuza sasa ,endelea uone pumbavu
 
wengi mnachangia kwa sababu ya umaamuma na wengine ni ushabiki au itikadi. kama mngekuwa mnasoma soma angalau kidogo mngejua umuhimu wa mavazi kwenye watangazaji wa tv au umuhimu wa mwonekano kwa watangazaji wa TV but kwa kuwa tayari tuna taifa la ****** ni ngumu kuelewa.
mkuu upo sahihi maana mi kuona picha tu nimejiskia uncomfortable natamani nimwambiee aweke vizuri,sipati picha wewe uliyetizama habari kabisa
 
Nimekujaaaa speeed nikidhani nitakuja kuona mapaja ya Mtangazaji kumbe syle ya kola!
 
Umeikuza sana issue ya kuvaa. Ungesema kakosa unadhifu, ila sio kavaa ovyo. Na kama ni lawama, inabidi ziwahusu sana muongozaji wa hicho kipindi na timu yake kwa ujumla, halafu ndio kwa mwanamama.

Ni kweli muonekano ni muhimu sana. Unaweza kusema pumba, ukapewa pass kutokana na muonekano; au ukasema ya maana na usisikilizwe kutokana na muonekano wako pia.
 
ungekaa kimya wala wenye akili tusingejua kuwa wewe ni wale waliorudishwa toka udom. division 4 aka 5. yaani huoni tatizo kwa mtangazaji wa TV kuvaa vibaya/hovyo? unasema ni usanii kwenye taarifa ya habari? maishani mwako nini kimewah kuwa serious ndugu yangu? unajua appearance ya watangazaji wa tv ilivyo muhimu kwa mtazamaji? anyway..nakwambia mambo yaliyo juu sana ya uwezo wako. we baki tu kuwa shabiki vibama. hilo ndo uliwezalo mambo ya kutumia akili hukuzoea. sasa umeanza mchakato gan baada ya kurudishwa toka udom? nenda karudie mitiha ii ndugu yangu.
Kwenye mkasi tom boy aliulizwa jina la bendera ya taifa ya tanzania akajamba,masoud akamwambia hivyo ndo watangazaji wa kibongo mlivyo yani weupe halafu mnajitia kujua kumbe masambinyigwa tu mfano dida anatangaza au anapiga mayowe,tom boi akawa mpole.
 
ni kweli watangazaji wengi sana ni hawajui mbaya zaidi hawajishughulishi kusoma ukiwaambia wanakasirika na kuna wenzao wanawatetea.
Kwenye mkasi tom boy aliulizwa jina la bendera ya taifa ya tanzania akajamba,masoud akamwambia hivyo ndo watangazaji wa kibongo mlivyo yani weupe halafu mnajitia kujua kumbe masambinyigwa tu mfano dida anatangaza au anapiga mayowe,tom boi akawa mpole.
 
mkuu @bombei safaya nisaidie nipate hiyo clip tafadhari inahusika sana. ni episode ya ngapi ya mikasi maana nimeona kuna episodes.

Kwenye mkasi tom boy aliulizwa jina la bendera ya taifa ya tanzania akajamba,masoud akamwambia hivyo ndo watangazaji wa kibongo mlivyo yani weupe halafu mnajitia kujua kumbe masambinyigwa tu mfano dida anatangaza au anapiga mayowe,tom boi akawa mpole.
 
mkuu @bombei safaya nisaidie nipate hiyo clip tafadhari inahusika sana. ni episode ya ngapi ya mikasi maana nimeona kuna episodes.
We andika mkasi masoud utaona jando alilopelekwa tom boy na mtangazaji anayejielewa aka masoud masoud
 
mkuu @bombei safaya nisaidie nipate hiyo clip tafadhari inahusika sana. ni episode ya ngapi ya mikasi maana nimeona kuna episodes.
Tom boi kaitoi mana alikuwa anahojiwa yeye badala ya mgeni kaicha ya masoud panya, alimtajia bendera za nchi kama tatu kama sijakosea uk,usa na japan akamtia swali kusu bendera yetu vile vidada vya pembeni vikawa vipole kama havipo nkaona kumbe mmewazoea wakina mtambo luangwa chid benz leo mtu kala simba habari ya kusisimua zaid
 
ni mtu mzima masoud masoud? nlidhan masoud kipanya
Panya sio ndio wareware wakupanda bure daladala la mwananyamala atajua wapi mambo ya hinomaru mcheki salama unyago aloupata hiyo day mixer alitajiwa msanii wa kumshabikia akaambiwa asikurupuke kwa kuwa hata wauza madawa wanamek money
 
sijafanikiwa kupata kama una link please nisaidie hapa. nakuta clips za masud kipanya na tom boy.

Panya sio ndio wareware wakupanda bure daladala la mwananyamala atajua wapi mambo ya hinomaru mcheki salama unyago aloupata hiyo day mixer alitajiwa msanii wa kumshabikia akaambiwa asikurupuke kwa kuwa hata wauza madawa wanamek money
 
Kaombe kazi Azam ya kuwavalisha watangazaji.
 
Back
Top Bottom